Uliambiwa nini ukiwa Mtoto lakini baada ya kukua ukagundua ni Uongo?

Uncle wangu alinidanganya kiwiliwili cha kumbikumbi kimejaa usaha, imeniathiri hadi leo hii sili kumbikumbi!
Dah hadi nimejawa na mate halafu pa kuyatema sina duh (bad image)
 
Nikidanganywa acacia watatulipa kishika uchumba trillion 400,nimepata akili kumbe ulikuwa ni uongo
 
Mama yangu alinidanganya eti Mtoto anazaliwa kupitia kwenye Dole gumba .
 
Ulikuwa unaonekana mwehu mno ndyo maana ulidanganywa ivyo
 
Wote tumedanganywa vingi mkuu,na vingi vinafanana fanana...teh
 
Nilidanganywa eti ukinyoshea kidole upinde wa mvua unakumeza, ukilala chali wakati inanyesha mvua ya radi inakupasua tumbo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…