Ujifunze kutumia na kuosha pale unapotumia,usiwe unajaza Vyoto hadi vinaotea ukungu,kuviosha tena hadi kinyaa[emoji41]Laivu,kwa nini wachina wasifanye maajab yao watengeze mashine ya kuoshea vyombo!!..mbona ya kufulia waliweza?
Haina upinzani,utaoa tu[emoji23][emoji16][emoji16]ntaoa tu, ntaoa tu kusema kwel ntaoa tu
Unatia kwenye nyama,,,,nyie watu mpo vizuri kwa mapishiHuu unyama, mnaujua? View attachment 2242728
Unatia kwenye nyama,,,,nyie watu mpo vizuri kwa mapishi
Hapa mzee kipengele, hivi hakunaga mashine za kuoshea vyombo? [emoji23]
Kuna madalali wanakutafutia wapo waaminifu. Kama unahitaji Location nambie nikuelekeze walipo watakusaidia.Jamani na mie natafuta ghetto maeneo ya ubungo mwenge.
Nataka maeneo ya ubungo ubungo hapo au mwenge nisarandie warembo wa chuo mzeya.Kuna madalali wanakutafutia wapo waaminifu. Kama unahitaji Location nambie nikuelekeze walipo watakusaidia.
Sio utani,baadhi ya sisi wanawake kupika ni mtihani sana,Hahah jamaa wako full package, ila inasikitisha kuna wanawake wanapika vibaya hadi unaona aibu kwa ajili yao
Wewe huyo[emoji23]Jamani na mie natafuta ghetto maeneo ya ubungo mwenge.
Wee tena ndio utakuja lipamba gheto au sio na kupika pilau siku ya ufunguzi wa gheto. Tutamualika Lizzy aje maana yelu sio mlaji sana so hatalimaliza pilau letuWewe huyo[emoji23]
Sasa si mpaka ulipate hilo ghetto??? Siku hiyo ntajikaza nile portion 2 - 3 coz ni special occasion!πππWee tena ndio utakuja lipamba gheto au sio na kupika pilau siku ya ufunguzi wa gheto. Tutamualika Lizzy aje maana yelu sio mlaji sana so hatalimaliza pilau letu
Gheto litapatikana kuna mwana kashaniambia linapatikanaSasa si mpaka ulipate hilo ghetto??? Siku hiyo ntajikaza nile portion 2 - 3 coz ni special occasion!πππ
Huyu ni ke ndio mana anapasifia home achana naye.Home hapajawahi kuwa na uhuru labda tupe uzoefu wako wewe mawardat
Tunajua wewe ni ke kwaiyo home ni pazuri lakini kwa me awezi kua huru.Home,,,,inategemea kama ni mtu wa misele unapaona hakuna uhuru,
Lakini kama sio mtu wa misele home patamu[emoji23]
Huu unyama, mnaujua? View attachment 2242728