Ulianzaje kukaa gheto?

Ulianzaje kukaa gheto?

Laivu,kwa nini wachina wasifanye maajab yao watengeze mashine ya kuoshea vyombo!!..mbona ya kufulia waliweza?
Ujifunze kutumia na kuosha pale unapotumia,usiwe unajaza Vyoto hadi vinaotea ukungu,kuviosha tena hadi kinyaa[emoji41]

tumia chombo suuza hata kama usipoosha na sabuni,mwaga uchafu usilale na uchafu ndani.
 
Hapa mzee kipengele, hivi hakunaga mashine za kuoshea vyombo? [emoji23]

Zipo mzee Ila Sidhani kama ni nyingi Afrika, Maana sisi ni watu wa kazi na Sidhani kama zinauzika sana barani kwetu hapa. Sana sana ni Amerika ya kusini na kaskazini. Ulaya na Asia Labda kwenye mahotel
 
Kuna madalali wanakutafutia wapo waaminifu. Kama unahitaji Location nambie nikuelekeze walipo watakusaidia.
Nataka maeneo ya ubungo ubungo hapo au mwenge nisarandie warembo wa chuo mzeya.
 
Wee tena ndio utakuja lipamba gheto au sio na kupika pilau siku ya ufunguzi wa gheto. Tutamualika Lizzy aje maana yelu sio mlaji sana so hatalimaliza pilau letu
Sasa si mpaka ulipate hilo ghetto??? Siku hiyo ntajikaza nile portion 2 - 3 coz ni special occasion!😌😄😄
 
Kati ya vitu, muhimu utakiwi kukosa ghetto, mtoto wa kiume ni Condom, kuna muda unapata mbuzi za ghafla, na zinatikiwa zichinjwe immedietly.. Ukimwi upo, na una ua..
IMG_20220529_210231.jpg
 
Back
Top Bottom