GRANITE II
JF-Expert Member
- Oct 24, 2016
- 540
- 965
ExcellentNilianza maisha ya ghetto 11/5/2022 nilikuwa na mkeka na ndoo za maji.Baada ya wiki mbili nikanunua godoro.Last week nimeongeza mazagazaga..Kitanda, showcase na tv na mazagazaga mengine.Mapambano yaendelee.View attachment 2439245
Kwahiyo kama cha 5/6 kinakuwa poa?Ahsante. Nilikitengeneza mwenyewe kwa ku Google. Nikakisafirisha hadi huku bush ila watu majirani wakawa wanshangaa ni nini hiki. Ila dadeki kuna work mate alikipenda tu kabla sijakipanga na kukihamishia hapa. Jumapili nimemtengeneza nae nimekula efu ishirini. Hakina mbwembe nyingi ila ukikipangilia ni hatari fire. View attachment 2442522 hapa ni wakati niko namtengenezea work mateView attachment 2442524 hiki hapa ndio nilikuwa natengeneza cha kwangu..
Usiwape ruhusa wafaham sana maisha yako,balance shoboMimi naomba pia tupeane mbinu za kuishi na wapangaji ususan nyumba zenye wapangaji wengi.
Sent from my Nokia G10 using JamiiForums mobile app
Mie ni mvivu kupika[emoji16],naweza kupika yaani najua na ninaweza,Wasiopenda pika wengi wao hawajui pika
Huwezi jua pika afu ukawa wala vyakula vya wafanyabiashara.Mie ni mvivu kupika[emoji16],naweza kupika yaani najua na ninaweza,
Hapana mkuu. Mimi huwa najiongeza tu kwa kucheki mtandaoni na kama unavyojua hakuna mwanaume anayeshindwa kushika nyundo na msumeno.We ni carpenter?
Mkuu size yoyote. Me godoro langu ni 4/6 so kama nikinunua godoro kubwa zaidi ni ninaongeza tu palletes maana ni unazipanga either kuongeza upana au urefu.Kwahiyo kama cha 5/6 kinakuwa poa?
Ila kwa uhalisia mtu akiamua jifundisha hawezi toa gharama kubwa kununua bidhaa.Hapana mkuu. Mimi huwa najiongeza tu kwa kucheki mtandaoni na kama unavyojua hakuna mwanaume anayeshindwa kushika nyundo na msumeno.
Nani kakuambia nakula vyakula vya mabandani????Huwezi jua pika afu ukawa wala vyakula vya wafanyabiashara.
HUJUI
Nimependa,lkn napenda kitanda cha juu juu[emoji16], nikitaka kiwe juu kitapendeza kweli??Mkuu size yoyote. Me godoro langu ni 4/6 so kama nikinunua godoro kubwa zaidi ni ninaongeza tu palletes maana ni unazipanga either kuongeza upana au urefu.
AmenMuda wako mzuri upo njiani....stay focused don't give up
30 chukua
My dream Bed aisee naona wewe umeweka pallets za kutosha ila mimi mpango wangu ni pallets ziwe mbili ndefuBed langu. View attachment 2441806
Lengo langu ni kisiwe chini sanaMy dream Bed aisee naona wewe umeweka pallets za kutosha ila mimi mpango wangu ni pallets ziwe mbili ndefu
Hongera Mkuu umeupiga mwingi hapo.[emoji91][emoji119]
Ndio zaidi. Nenda mtandaoni utagoogle vitanda vingi vya style hii viko mamia kwa mamiaNimependa,lkn napenda kitanda cha juu juu[emoji16], nikitaka kiwe juu kitapendeza kweli??
Sure mkuu. Mfano mimi hizo pallete bed mbao zake nimezipata bure kwa kuokota kweny kiwanda fulani. In short hizo mbao ni zilikuwa rejectsIla kwa uhalisia mtu akiamua jifundisha hawezi toa gharama kubwa kununua bidhaa.
MDF zipo bei yake kawaida, mbao zipo, tena ukitaka wanakata kabisa.
Vifaa unakodisha ie compressor ya rangi
Google pallets bedNimependa,lkn napenda kitanda cha juu juu[emoji16], nikitaka kiwe juu kitapendeza kweli??
Means unapikiwa sioNani kakuambia nakula vyakula vya mabandani????
Sipiki mara nyingi, inshort naingia kwenye kundi la wasiopenda kupika tu.Huwezi jua pika afu ukawa wala vyakula vya wafanyabiashara.
HUJUI