fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
Hahahahhha unaweza kumuita kimasikhara hv afu demu akajaa😁😁[emoji23][emoji23]hamna bhana ni katika kuuliza tu sio mkewe alaf jamaa ni mshkaji wangu kiasi na hamind wala nini na hata hvyo uyo mlimbwende sio kama namuita kila mara hapana ni baadhi ya muda tu tena kimasikhara jamaa akiwepo utasikia namuita "mrembo wa nyumba hii"
Jamaa wake mwenyewe kiwembe alaf me simuiti kama namtaka me nina dem wangu.
[emoji1787][emoji1787]kumbe ndo maana mwamba juu apo akanambia habari ya kutokuwa muelewa, Basi me sipo uko kabisa yaani sina hisia nae KABISAAAA me bhana namuheshim sana mpenzi wa mtu hatakama hapendwi ila narespect lakin pia sina tamaa nao maana me wangu nikipiga simu uyu apa ghetto na anabonge la natural booty sema itabidi niache tu asijekujaa mdada wa watuHahahahhha unaweza kumuita kimasikhara hv afu demu akajaa[emoji16][emoji16]
Kabsa 😁😁 tatzo swali lako uliliuliza kiuchokozi au kidharau kama vile upo kwenye harakat za kumla kimasikhara vile....unamuitaje demu wa mrembo wakat bwanaake yupo apo apo si atahisi kama upo kwenye harakat za kumpndua hv[emoji1787][emoji1787]kumbe ndo maana mwamba juu apo akanambia habari ya kutokuwa muelewa, Basi me sipo uko kabisa yaani sina hisia nae KABISAAAA me bhana namuheshim sana mpenzi wa mtu hatakama hapendwi ila narespect lakin pia sina tamaa nao maana me wangu nikipiga simu uyu apa ghetto na anabonge la natural booty sema itabidi niache tu asijekujaa mdada wa watu
[emoji16][emoji16][emoji16]itakuwa kwenye kuliwasilisha nmekosea kuna jamaang alinisikia nikimuita nae alikuwa na mawazo me napiga mingle ndo nikalileta kuuliza kwa wazee wa maghettoKabsa [emoji16][emoji16] tatzo swali lako uliliuliza kiuchokozi au kidharau kama vile upo kwenye harakat za kumla kimasikhara vile....unamuitaje demu wa mrembo wakat bwanaake yupo apo apo si atahisi kama upo kwenye harakat za kumpndua hv
Hahahahah kabsa kabsa kak mkubwaah uskute hata uyo dada nae anawaza kama ambavyo tulivokua tunawazia ss[emoji16][emoji16][emoji16]itakuwa kwenye kuliwasilisha nmekosea kuna jamaang alinisikia nikimuita nae alikuwa na mawazo me napiga mingle ndo nikalileta kuuliza kwa wazee wa maghetto
[emoji23][emoji23][emoji23]angejuta ningemruka futi mia na ndo ingekuwa mwanzo wa kunichukiaHahahahah kabsa kabsa kak mkubwaah uskute hata uyo dada nae anawaza kama ambavyo tulivokua tunawazia ss
Sas uache kumuita mrembo muita dada tu😅😅[emoji23][emoji23][emoji23]angejuta ningemruka futi mia na ndo ingekuwa mwanzo wa kunichukia
Kua na demu wako hakuzuii kumchakata, inavyoneka unaanzia mbali sana ili uje upige kimasihara[emoji23][emoji23]hamna bhana ni katika kuuliza tu sio mkewe alaf jamaa ni mshkaji wangu kiasi na hamind wala nini na hata hvyo uyo mlimbwende sio kama namuita kila mara hapana ni baadhi ya muda tu tena kimasikhara jamaa akiwepo utasikia namuita "mrembo wa nyumba hii"
Jamaa wake mwenyewe kiwembe alaf me simuiti kama namtaka me nina dem wangu.
Nimekoma na natubu sifanyi hivyo tena[emoji119]Sas uache kumuita mrembo muita dada tu[emoji28][emoji28]
[emoji2]wazee mnalong term plan kweli me wala siwazi hvyo kakaKua na demu wako hakuzuii kumchakata, inavyoneka unaanzia mbali sana ili uje upige kimasihara
Natafuta hela nivute inch 40 hisense niitandike ukutani..nikimaliza hapo basi
Watu kama wameridhika hv😁😁au wamegoma kutoka magetonihhuu uzi ushaanza kudoda
Ukute wanalala chini, sasa nani atakubali kupiga picha ghetto kama hiloWatu kama wameridhika hv😁😁au wamegoma kutoka magetoni
unanisema mm ka mkubwa 😄Ukute wanalala chini, sasa nani atakubali kupiga picha ghetto kama hilo
Sindikiza picha kaka tuchangamshe kundiUkute wanalala chini, sasa nani atakubali kupiga picha ghetto kama hilo