Ulianzaje kukaa gheto?

Ulianzaje kukaa gheto?

Nikisimulia A to now (Z is death) ya hustle zangu nitareveal my identity so i better keep my mouth shut!

All in all vijana tupige kazi. You are the only person who can save your a$$ in this world.

Hustle more mpaka uachane na life la kulala chumba kimoja na ndoo za maji, gesi za majiko, viatu, TV humo humo.

It's possible.
 
Hahahaha alafu dogo anayekaa naye kama msukule yan mwanaume ana miaka 29 anadekishwa mpaka nyumba kisaa hawez panga gheto nilimpa makavu nikamwambia wewe ni msukule wake tu jitambue mm wala siombi msamaha Baki hapo ujipendekeze mbuzi wewe nikasepa nikamwambia mm hapa na undugu sibembelezi wewe usiyejielewa baki utafua mpaka vyupi

Khaaaa huyo mtu ni hatari miaka 29 unakubali kudekishwa. M nakumbuka natoa proposal ya kupanga brother wangu akanizuia alitaka nibaki nyumbani nimsaidie baba shughuli za home hasa za kutunza mifugo yake, kma nikitaka hela nimuambie atakua ananisapoti kisa yeye ni mwajiliwa.

Nikasema poa broo siku ya pili tu nikamuomba milioni 2 nifanyie biashara akasema hana, akaja kusikia niko gheto baada ya miezi 2 mbele.
Siku karudi home baada ya kupata likizo kagoma kufikia home kaja kulala ghetto kwangu.

Ko huyo dgo asipojiongeza mwenyewe atakoma hapo, anaefanyiwa kazi hata mshauri kuondoka ataliacha tu lideki vyoo ving'ae huku anasindikizwa na kejeli na majungu kibao
 
Kweli kabisaa ujingaa tu
Khaaaa huyo mtu ni hatari miaka 29 unakubalu kudekushwa. M nakumbuka natoa proposal ya kupanga brother wangu akanizuia alitaka nibaki nyumbani nimsaidie baba shughuli za home hasa za kutunza mifugo yake, kma nikitaka hela nimuambie atakua ananisapoti kisa yeye ni mwajiliwa.. Nikasema poa broo siku ya pili tu nikamuomba milioni 2 nifanyie biashara akasema hana, akaja kusikia niko gheto baada ya miezi 2 mbele.
Siku karudi home baada ya kupata likizo kagoma kufikia home kaja kulala ghetto kwangu.
Ko huyo dgo asipojiongeza mwenyewe atakoma hapo, anaefanyiwa kazi hata mshauri kuondoka atalicha tu lideki vyoo ving'ae huku anadindikizwa na kejeli na majungu kibao
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kaza man, ila hapo kimsingi basics za ghetto la kiume zipo tayari.
~Kitanda
~Jiko
~Mziki wa kupunguzia kelele za minjunjano [emoji23]
Thanx mkuu hivyo nilivitafuta hata kabla sijaingia maghetoni
 
Sure,
Nikisimulia A to now (Z is death) ya hustle zangu nitareveal my identity so i better keep my mouth shut!

All in all vijana tupige kazi. You are the only person who can save your a$$ in this world.

Hustle more mpaka uachane na life la kulala chumba kimoja na ndoo za maji, gesi za majiko, viatu, TV humo humo.

It's possible.
 
Nakumbuka mwaka jana niliaga nyumbani kua natak kusepa nikatafte maisha
Mzee Akanambi hakun kuondoka hapa had nione assets zako
Dah nkasem poa....
Miezi miwili mbele nkapata kaz... Nje kidogo ya mji basi ndo naishi hapa
Changamoto ni kupika na kufua tu[emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 1175222View attachment 1175223
Neti za chuma, znadondoka ukiwa ktk harakati zetu zile
 
Nakumbuka nmetoka kwenye pepa na mwenzngu nmempakia kwenye boda boda tunarudi zetu home babamkwe ananipigia simu jerry uko wapi nkamwambia,heb njoo swhemu flani wakati nashuka pale na mwanake anakitumbo namshusha huku namtania mzee alitoka chozi la furaha alivyokuwa anatuangalia,nikaonyeshwa gari aina ya ist,that time ndo ubber imeingia tz,akanambia hii ndo gari nliyowapa but kwa sharti la kuniletea kila siku elfu 20 then baada ya mwaka litakuwa lenu,basi nkachukua piki piki nikaifunga sehemu na kuiweka lock then nkachukue ndinga na wife mpka tumapokaa then baadae nkaifata piki piki mpka kule then nkaileta home.
Hahaha a umetisha
 
Pole sana pambana anza kuweka kidogo kidogo utatoka
Nipo nyumbani mpaka mda huu na-type. Hali inazidi kua mbaya wakuu, naomba niwahaidi mwanzoni mwa mwez wa 9 picha ya geto Langu. Mungu nisaidie.
 
Home ukikaa tatizo lake unakuwa msukule bila kupenda.
 
Kwanza kabisa heshima zimuendee muanzishaji wa hii thead kwa wageni wa izi mambo tunapata experience apa

then na mimi nichangie kidogo apa japo sijaanza rasmi kuwa gheto ila tayari nipo gheto kwa mda....bado napambana na module ila kwa sasa nipo field, niliona kwa mda ambao nipo field na baada ya kukataa kujistiri kwa ndugu nikaona nijikakamue na chench iliyobak kutoka uko chuoni nijaribu kuexperience maisha ya gheto mana mda sio mrefu nitaitaji kuanza rasmi kuwa mwenzenu...chuoni nilikua na ela ya boom tu ambayo ndo natumia kulipa ada na vitu vingine vyote hivyo iliitaji akili ya ziada kuweza kuipangilia iyo ela ibaki na ya kuja kusukuma maisha uku mtaani.....nimejitaidi nimelipa kodi ya mda nitakaokaa then changamoto ikaja either kununua jiko ndo rahisi au bora kula gengeni....nikaona kwa hali niliyonayo bora nijilie gengeni mana nikisema ninunue jiko nitakua na vitu vingine vingi vya kununua...apa vijicent nilivyokua navyo vimekata masisha yanazidi kua magumu....apa nimejinunua kigodoro changu cha futi nne nimekitandaza chini siku zinasonga namshukuru mungu.....maisha ni haya haya amna mengine so inabidi tu kujiset taratibu.....
 
Back
Top Bottom