Hahahahah...dogo uko vyediHapana kwa wakati huo mambo hayawezi kubadilika ety hadi ukacharuka hapo hapo hapana.
Siku ya kwanza kuvuta unaweza ukaanza kuona ni kama mwili wako umemwagiwa maji, au ukaanza ona mtu wa kiume ana kalio kubwa, au ukaona vitu vingine vya ajabu ukitumia hadi mara tatu unaona vitu vya ajabu ajabu tu basi ww kiasili tu haikutaki.
Mim siku ya kwanza nilivotumia nilipata njaa. Hadi leo hii hata nikitumia nahisi njaa sana.
Kingine cha kukushauri usinunue ambayo tayali wameiroll nunua ukasafishe uroll mwenyewe utajifunza hata online.
Aah ccy shikamoo.Hahahahah...dogo uko vyedi
[emoji38][emoji38] WENGINE tumevamia mtumbwiUzi wawa vuta bange
Usitake kutudanganya kwamba ulishaacha kuvuta!!Mie niliwahi kuvutaaa mara 1 hivi, wakat nipo 4m 3, ilikua likizo, nilikua na shost angu, sasa mchumba wake alikua mvuta bangee, siku hyo tupoo wotee mie, shost na mchumba ake,
Ndo akatuambia tuvutee kidg, aiiiiiiiih tulivutaaa ina kaharufu fulaan ka kushawishi, acha tuvutee, baadae tukanywa na ZED,
Usingizi ulikuja wa ajabuuu hata sikuelewaaa, ilikua saa 7 mchana nimekuja kustuka saa 5 usikuu, shost kalala fofofo, mchumba ake hayupo,
Namuamshaa shost kalala hatak kuamka, mie nkatoka zangu, kurud home, huku nna wenge kichwan, kufika homee niliburuzwaaa fimbooo, sema waligundua nimelewaa, hawakujua na bange nilivuta.
Tangu siku ilee sijawahi tenaa, japo mshua ni mlimaji mkuu wa bangee na mie naijuaa tangu kuipanda had kuivunaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sijawahi kuvutaa tenaa hataaa. Na sivutiii pia.Usitake kutudanganya kwamba ulishaacha kuvuta!!
Ah ah yule nwalimu wa kijita Maijo alishindwa kukugundua nn maana yule Mzee kama amechanjia ivi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nilianza kuvuta a level mbeya city kipindi nasoma meta sekondali , nilikuwa mimi na mwanangu chidy siku tumevuta ile tunarudi mageto kuna mzee alikuwa anaendesha baiskeli akadondoka aisee tulichekaa mnooo kila tukionana na mwanangu tunacheka. Baada ya kucheka sana nikamwambia mwanangu bangi imetukataa tumesha kuwa vichaa siunaona tuacheka sanaa jamaa akaanza kuliaa mimi nikucheka tuu aisee bangi ni starehe