Ulianzaje kuvuta bangi?

Ulianzaje kuvuta bangi?

Mi nilianza kuvuta kupotezea ile hali nilitokuwa naona kama nikienda kwa wajombaa na kuona familia zenye wazazi wako pamoja zilivo na raha. Da sasa nikaanza moka balaa ila ukiniona huezi elewa. Man baadae ilikolea mpaka nikaja kuwa sadali ila kwa sasa nimeacha kula na kuuza. Ilaa kwa hii area nilioko ni kitu nomo kuvuta yani fulu bangi zone muhimu zifike kutoka uko itokako.
 
Hapana kwa wakati huo mambo hayawezi kubadilika ety hadi ukacharuka hapo hapo hapana.
Siku ya kwanza kuvuta unaweza ukaanza kuona ni kama mwili wako umemwagiwa maji, au ukaanza ona mtu wa kiume ana kalio kubwa, au ukaona vitu vingine vya ajabu ukitumia hadi mara tatu unaona vitu vya ajabu ajabu tu basi ww kiasili tu haikutaki.

Mim siku ya kwanza nilivotumia nilipata njaa. Hadi leo hii hata nikitumia nahisi njaa sana.

Kingine cha kukushauri usinunue ambayo tayali wameiroll nunua ukasafishe uroll mwenyewe utajifunza hata online.
Hahahahah...dogo uko vyedi
 
Art of rolling. Wee kwa wale wazee wa phantom. Ukute mzigo ni vichwa tuu afu ni ya orkokola. Mafiling, imani ya kutosha, afu kukata tamaa mwiko.
 
Mie niliwahi kuvutaaa mara 1 hivi, wakat nipo 4m 3, ilikua likizo, nilikua na shost angu, sasa mchumba wake alikua mvuta bangee, siku hyo tupoo wotee mie, shost na mchumba ake,

Ndo akatuambia tuvutee kidg, aiiiiiiiih tulivutaaa ina kaharufu fulaan ka kushawishi, acha tuvutee, baadae tukanywa na ZED,
Usingizi ulikuja wa ajabuuu hata sikuelewaaa, ilikua saa 7 mchana nimekuja kustuka saa 5 usikuu, shost kalala fofofo, mchumba ake hayupo,

Namuamshaa shost kalala hatak kuamka, mie nkatoka zangu, kurud home, huku nna wenge kichwan, kufika homee niliburuzwaaa fimbooo, sema waligundua nimelewaa, hawakujua na bange nilivuta.

Tangu siku ilee sijawahi tenaa, japo mshua ni mlimaji mkuu wa bangee na mie naijuaa tangu kuipanda had kuivunaa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mie niliwahi kuvutaaa mara 1 hivi, wakat nipo 4m 3, ilikua likizo, nilikua na shost angu, sasa mchumba wake alikua mvuta bangee, siku hyo tupoo wotee mie, shost na mchumba ake,

Ndo akatuambia tuvutee kidg, aiiiiiiiih tulivutaaa ina kaharufu fulaan ka kushawishi, acha tuvutee, baadae tukanywa na ZED,
Usingizi ulikuja wa ajabuuu hata sikuelewaaa, ilikua saa 7 mchana nimekuja kustuka saa 5 usikuu, shost kalala fofofo, mchumba ake hayupo,

Namuamshaa shost kalala hatak kuamka, mie nkatoka zangu, kurud home, huku nna wenge kichwan, kufika homee niliburuzwaaa fimbooo, sema waligundua nimelewaa, hawakujua na bange nilivuta.

Tangu siku ilee sijawahi tenaa, japo mshua ni mlimaji mkuu wa bangee na mie naijuaa tangu kuipanda had kuivunaa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usitake kutudanganya kwamba ulishaacha kuvuta!!
 
Kuna kipindi katika maisha nilikua homeless alafu nchi za watu baridi kama lote kitu cha bange kilinipitisha kipindi kigumu sana maana watu walikua wanakufa na baridi lakini muhuni nikisha piga vitu vyangu napoa freshi...nitaiheshimu bangi forever japo sijuhizi stumii kulingana na mazingira
 
Kama wewe ni jobless huna hata dem na bangi huvuti utakua confused zaidi..pia kama wewe ni tajiri na una kila kitu then unahitaji wisdom kutoka kwa mmea.
 
Nilianza kuvuta a level mbeya city kipindi nasoma meta sekondali , nilikuwa mimi na mwanangu chidy siku tumevuta ile tunarudi mageto kuna mzee alikuwa anaendesha baiskeli akadondoka aisee tulichekaa mnooo kila tukionana na mwanangu tunacheka. Baada ya kucheka sana nikamwambia mwanangu bangi imetukataa tumesha kuwa vichaa siunaona tuacheka sanaa jamaa akaanza kuliaa mimi nikucheka tuu aisee bangi ni starehe
 
Nilianza kuvuta a level mbeya city kipindi nasoma meta sekondali , nilikuwa mimi na mwanangu chidy siku tumevuta ile tunarudi mageto kuna mzee alikuwa anaendesha baiskeli akadondoka aisee tulichekaa mnooo kila tukionana na mwanangu tunacheka. Baada ya kucheka sana nikamwambia mwanangu bangi imetukataa tumesha kuwa vichaa siunaona tuacheka sanaa jamaa akaanza kuliaa mimi nikucheka tuu aisee bangi ni starehe
Ah ah yule nwalimu wa kijita Maijo alishindwa kukugundua nn maana yule Mzee kama amechanjia ivi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Bange nimevuta saaaana! mpaka basi!! tena nimejaribu aina nyingi mabali na ya karatasi nimevuta lile la kibuyu!! iko ivi unaweka spoku holder ya Baiskeli then

unaweka mkaa kwa juu yake unatumbukiza ndani ya kibuyu kile chini unaweka mkojo wa punda ule mchunguu!

wenyeji wa Mara wanalijua hili li bange!.........Maajabu sasa nimefanya ivo weeee! kutokana na compani yang nilokuwa nayo!! lkn wao linawazingua ila mimi niko vilevile! nilichogundua....

Bange ni kujifanya fanya tuuu!!...hkna tofauti na majani ya kawaida!
 
Asikuambie mtu stimu kubwa ya ganja Ni kucheka aisee.kitu kidogo unaeza cheka mpka machozi ..nakumbuka tulipiga skanka afu jamaa mmoja akapiga story ya uongo.aisee tulicheka kuanzia saa 3 usiku mpka saa 7 usiku .yaan tunacheka afu tunakaa kimya hata dk 10 afu anaanzisha .mmoja kucheka tena😂 ...kesho asubuhi tukafukuzwa na faza house na Kodi yetu akatupa nusu .tukaanza mlaumu aliekua anatuchekesha
 
Back
Top Bottom