Ulichoma mtaji mara ngapi mpaka kuja kutoboa kibiashara?

Ulichoma mtaji mara ngapi mpaka kuja kutoboa kibiashara?

Kiongozi vp upande wa dagaa kutoka visiwani na kuwaleta mwanza? Hapo naulizia mtaji wa shilingi ngapi? Na sehemu ya kuuzia ukishazifikisha mwanza na ukiwa mgeni ukienda kule visiwani hamna shida au usumbufu unaoweza kukupata?
Sorry mkuu nilikua maporini huko network shida, kuhusu mtaji wa dagaa hata 500k unaanza kwasababu gunia la debe 10 linarange 180k-250k kutokana na upatikanaji wa dagaa unaweza kuanza hata na gunia mbili kama hupeleki mbali sana ila kama upo vizuri 1m ni mtaji mzuri zaidi, kuhusu usalama visiwani upo tuu cha muhimu fanya kilichokupeleka basi na usimkopeshe mvuvi hela ila biashara ya dagaa kwangu mimi changamoto lilikua somo kama unaanza tafuta kwanza wateja then ndo ingia mzigoni. Mwanza soko lipo kirumba ila pale hakuna biashara kuna madalali wapuuzi sana sikushauri.
 
Mkuu nipe projections nisijekuwa nimepigwa kamba nalisha watu matangopori. Ukinunua dagaa wabichi ukawaanika na kutoa gunia moja, utatumia kiasi gani. Na ukija Dar litauzwaje, na gharama za usafiri ni kiasi gani. Najua kuna price fluctuations ila inakuwa reflected kwa mzalishaji na kwa consumer.
Yohimbe bark mpe taarifa za muda huu
 
Sorry mkuu nilikua maporini huko network shida, kuhusu mtaji wa dagaa hata 500k unaanza kwasababu gunia la debe 10 linarange 180k-250k kutokana na upatikanaji wa dagaa unaweza kuanza hata na gunia mbili kama hupeleki mbali sana ila kama upo vizuri 1m ni mtaji mzuri zaidi, kuhusu usalama visiwani upo tuu cha muhimu fanya kilichokupeleka basi na usimkopeshe mvuvi hela ila biashara ya dagaa kwangu mimi changamoto lilikua somo kama unaanza tafuta kwanza wateja then ndo ingia mzigoni. Mwanza soko lipo kirumba ila pale hakuna biashara kuna madalali wapuuzi sana sikushauri.
Biashara ya dagaa niliifanya 2017-2018 ilinilipa sana kwa kipindi hiko nikaja kuleta utoto dah[emoji35]
 
Ni kweli kabisa ,Anza na kujiandaa kiroho , kisaikolojia , kiakili na kimwili.
Kiroho; Muombe mungu sana akuonyeshe Nini Cha kufanya, Muombe akuongoze( kwenye kukuongoza sio lazima upate miujiza sijui ndoto au sijui Nini Bali unaweza usione yote hayo lakini dhamira yako ikaongozwa kutoa maamuzi), Toa sadaka kwa wahitaji ( sio kutoa kwa watu kwa sifa tu) kikubwa toa Fungu la Kumi la kipato chako kwa mungu.. Fungu lakumi mungu huepusha mabalaa kwenye biashara sijui moto, wizi na kukunusuru na hasara kubwa maana mungu ni mwenye wivu mali na biashara yako umeshare naye hatakubali anguko lako( sema hata ukipata majaribu ni ya mpito tu).
- Jiandae kisaikolojia kwa sababu biashara au kazi Zina changamoto hakuna kazi au biashara nzuri au mbaya zote Zina faida na hasara zake.
_ ki Akili , Anza kujifunza kinadharia kusoma vitabu mbali mbali kikubwa hapa Tafuta Mentor na sio Advisor ( mshauri asiye kifanya asemacho kinadharia).
- kimwili Anza kuangalia sehemu ya biashara kwa maana ya location sahihi pia hapa mshirikishe mungu akuongoze.
N.B Biashara yeyote huwezi kutoboa Bora nguvu ya kiroho, unaweza usijue kwa kama kunanguvu inayokuongoza kwa maana hufanyii kazi kuiomba . Wakati mwingine nguvu za kiroho zipo kwa mtu kwa Neema zake tu bila nguvu zake kuzitafuta Tofauti na hapo utasoma vitabu vyote vya motiventional speakers ukienda kwenye field unaambulia za uso.

Wasikudanganye, Biashara bila kujiungamanisha na upande wowote wa Ulimwengu wa Roho, kutoboa ni ngumu sana, kila mtu ana mbinu za siri za kujiungamanisha na ulimwengu wa roho
 
Ok wakuu sisi nyumbani tulianza duka la mangi. Mwanzo ulikua mgumu maana biashara ilikua kama imedumaa. Apo apo tunategemea itulishe apo apo udokoe viela..

Mpaka kuna muda mama akatamani kuuza tu io biashara au afunge. Kuna muda akapata viela kazini tukapunguza kulitegemea duka kama miezi 6 ivi. Aisee biashara ilifumuka vibaya na kukua kuliko kawaida
 
Ok wakuu sisi nyumbani tulianza duka la mangi. Mwanzo ulikua mgumu maana biashara ilikua kama imedumaa. Apo apo tunategemea itulishe apo apo udokoe viela..

Mpaka kuna muda mama akatamani kuuza tu io biashara au afunge. Kuna muda akapata viela kazini tukapunguza kulitegemea duka kama miezi 6 ivi. Aisee biashara ilifumuka vibaya na kukua kuliko kawaida
Ukianza kuitegemea biashara ambayo haijakua hapo ndio unakua unaiua taratibu. Hongereni sana
 
Step ya kwanza nilichoma mara 3 ya 4 nikatoboa nikachoma 2 tena jumla 5 ya 6 na ya 7 ndio zinakua sasa. Ila inahitaji moyo na uvumilivu mkubwa sana.... Msemo wangu najipaga moyo, kuvunjika kwa mtumbwi sio mwisho wa safari.
 
ilikuwaje mkuu
Hii biashara nilikua nafuata mwenyewe songea na baada ya kuzoeana sana na wauzaji walikuwa wananipa kwa mali kauli nije kuuza DSM halafu nikiuza natuma hela aisee kwa mara ya kwanza nilishika 1M kupitia hii biashara.

Sema utoto ulikua mkubwa kupiga pumbu halafu baadae nikawa naendekeza kulemba chumba tu bila kuwekeza kwingine jambo ambalo niliwekeza nalo halikunilipa nilinunua boda boda(biashara kichaa). Baadae nikahama Dar niende mkoa kusoma(huu ndo usenge mkubwa nilifanya) kwani nilipoteza wateja na connection maana nilikua nimemuachia mtu akawa ana devela mwisho ikawa chali.

Niliporudi DSM nikataka kuirudia nikafeli nikapotezea kwani masoko yale yalikua yashachukuliwa na watu wengine. Mimi nilikua nachukua mzigo songea labda wa laki 3 naleta DSM kisha nasambaza kwenye magenge makubwa wanauza mzigo ukiisha ndani ya siku 5-7 nafuata mpunga nilikua na soko la uhakika sana na faidi ilikua nusu kwa nusu.

Mafanikio niliyofanya kupitia Dagaa nyasa 2017-2018
[emoji117]Kununua boda boda 1
[emoji117]Vitu vya ndani vya kisasa
[emoji117]Kufungua akaunti ya bank ilifika hadi 3M.
[emoji117]Kujitegemea kula,kuvaa na kodi
[emoji117]Exposure ya kusafiri sana na kuyajua maisha.
 
Hii biashara nilikua nafuata mwenyewe songea na baada ya kuzoeana sana na wauzaji walikuwa wananipa kwa mali kauli nije kuuza DSM halafu nikiuza natuma hela aisee kwa mara ya kwanza nilishika 1M kupitia hii biashara.

Sema utoto ulikua mkubwa kupiga pumbu halafu baadae nikawa naendekeza kulemba chumba tu bila kuwekeza kwingine jambo ambalo niliwekeza nalo halikunilipa nilinunua boda boda(biashara kichaa). Baadae nikahama Dar niende mkoa kusoma(huu ndo usenge mkubwa nilifanya) kwani nilipoteza wateja na connection maana nilikua nimemuachia mtu akawa ana devela mwisho ikawa chali.

Niliporudi DSM nikataka kuirudia nikafeli nikapotezea kwani masoko yale yalikua yashachukuliwa na watu wengine. Mimi nilikua nachukua mzigo songea labda wa laki 3 naleta DSM kisha nasambaza kwenye magenge makubwa wanauza mzigo ukiisha ndani ya siku 5-7 nafuata mpunga nilikua na soko la uhakika sana na faidi ilikua nusu kwa nusu.

Mafanikio niliyofanya kupitia Dagaa nyasa 2017-2018
[emoji117]Kununua boda boda 1
[emoji117]Vitu vya ndani vya kisasa
[emoji117]Kufungua akaunti ya bank ilifika hadi 3M.
[emoji117]Kujitegemea kula,kuvaa na kodi
[emoji117]Exposure ya kusafiri sana na kuyajua maisha.
Daah huenda ungeendelea sahivi ungekuwa mbali sana mkuu
 
Hii nakuunga mkono
Kuna kipindi nilikua Moro, nikafungua kibanda cha chips,niliuza kama siku tano ,maamaaee kilichofuata ,wateja wanapita mbele ya kabati wanaacha viazi wanaenda kupanga foleni Kwa majirani huko,
Asubuhi kila nikienda madukani pale Morogoro mjini kununua vitu ,kila duka unaloingia wanachoma udi mpaka unajiuliza kama wanapunga mashetani
Nikahamisha mavitu yangu mchana kweupe nikaacha Banda
Kwa wenyeji wa Morogoro,wanapafahamu maeneo ya IPOIPO ukiwa unaelekea Sua, mazimbu campus
Acha masiha mkuu[emoji1787]
 
Kitendo tu cha kujaribu jaribu biashara kadhaa kinaonesha huna uvumilivu na husomi ethics za biashara husika !
Ipo hivi chagua biashara unayoipenda kutoka moyoni, halafu wekeza muda nguvu na akili yako hapo , biashara ikifeli rudia tena biashara hiyo hiyo huku ukuangalia maeneo Uliyofeli mwanzo na weka mbinu mpya kwa biashara hiyo!
Kubadili biashara hakutakusaidia kitu maana kila siku utakuwa unakumbana na changamoto mpya kwenye kila biashara mpya
Wafanyakaz na wasomi wengi hili ndo linawaangusha Sana kibiashara
 
Hii biashara nilikua nafuata mwenyewe songea na baada ya kuzoeana sana na wauzaji walikuwa wananipa kwa mali kauli nije kuuza DSM halafu nikiuza natuma hela aisee kwa mara ya kwanza nilishika 1M kupitia hii biashara.

Sema utoto ulikua mkubwa kupiga pumbu halafu baadae nikawa naendekeza kulemba chumba tu bila kuwekeza kwingine jambo ambalo niliwekeza nalo halikunilipa nilinunua boda boda(biashara kichaa). Baadae nikahama Dar niende mkoa kusoma(huu ndo usenge mkubwa nilifanya) kwani nilipoteza wateja na connection maana nilikua nimemuachia mtu akawa ana devela mwisho ikawa chali.

Niliporudi DSM nikataka kuirudia nikafeli nikapotezea kwani masoko yale yalikua yashachukuliwa na watu wengine. Mimi nilikua nachukua mzigo songea labda wa laki 3 naleta DSM kisha nasambaza kwenye magenge makubwa wanauza mzigo ukiisha ndani ya siku 5-7 nafuata mpunga nilikua na soko la uhakika sana na faidi ilikua nusu kwa nusu.

Mafanikio niliyofanya kupitia Dagaa nyasa 2017-2018
[emoji117]Kununua boda boda 1
[emoji117]Vitu vya ndani vya kisasa
[emoji117]Kufungua akaunti ya bank ilifika hadi 3M.
[emoji117]Kujitegemea kula,kuvaa na kodi
[emoji117]Exposure ya kusafiri sana na kuyajua maisha.
Mafanikio ndani ya mda gani mkuu
 
Back
Top Bottom