Ulichoma mtaji mara ngapi mpaka kuja kutoboa kibiashara?

Ulichoma mtaji mara ngapi mpaka kuja kutoboa kibiashara?

Ukipata nafasi hebu tupe hayo madini mkuu manake sasa hali imeshakua mbaya. Watu kila tukijaribu tunafumuliwa mi mbata unatoka unaona nyotanyota
Kuna biashara moja hivi tulijaribu miezi ya mwanzoni hivi, tulitengeneza Faida ya 1mil+ ndani ya wiki tatu hivi, ila nisikufiche tulitumia ujuzi wa Ulimwengu wa roho, baadaye tukaona tutumie tu akili zetu na uzoefu maana wateja si tayari wapo, alooo.......walipungua na kuzidi kupungua, hapa tumeamua kutulia tu, tunalisoma soko halafu turudi tena kwenye ulimwengu wa roho.

N:B - Ulimwengu wa roho sio kupitia Shetani tu, hata kupitia njia za Mungu inawezekana.
 
Business inahitaji nidhamu pamoja na commitment ya kutosha.. ukiachana na hayo Kuna watu Wana vichwa vya biashara. Yaani hata auze pipi automatically anatoboa tu.. wewe mwenzangu na Mimi unaweka mamilioni unaambulia patupu.

Vipo vingi vya kufanya na unaweza kutoboa kimya kimya bila hata kushirikisha nguvu ya Giza. Muhimu cheza na location, misimu, aina ya watu wanaokuzunguka, angalia nini ukifanya unakuwa free zaidi halafu jikite kwanza hapo hatua nyingine itafata mumo kwa mumo
 
Business inahitaji nidhamu pamoja na commitment ya kutosha.. ukiachana na hayo Kuna watu Wana vichwa vya biashara.Yani hata auze pipi automatically anatoboa tu.. wew mwenzangu na Mimi unaweka mamilioni unaambulia matupu.
Vipo vingi vya kufanya na unaweza kutoboa kimya kmya bila hata kushirikisha nguvu ya Giza. Muhimu cheza na location, misimu, aina ya watu wanaokuzunguka, angalia nn ukifanya unakuwa free zaidi halafu jikite kwanza hapo hatua nyingine itafata mumo kwa mumo
Ulimwengu wa roho sio kushirikisha nguvu za Giza wewe, hata Mungu yuko kwenye ulimwengu wa roho.
 
Business inahitaji nidhamu pamoja na commitment ya kutosha.. ukiachana na hayo Kuna watu Wana vichwa vya biashara.Yani hata auze pipi automatically anatoboa tu.. wew mwenzangu na Mimi unaweka mamilioni unaambulia matupu.
Vipo vingi vya kufanya na unaweza kutoboa kimya kmya bila hata kushirikisha nguvu ya Giza. Muhimu cheza na location, misimu, aina ya watu wanaokuzunguka, angalia nn ukifanya unakuwa free zaidi halafu jikite kwanza hapo hatua nyingine itafata mumo kwa mumo
Sema vingine uko sahihi.
 
Ulimwengu wa roho kuna sehemu mbili, kwa Shetani au kwa Mungu.
Wote wana kanuni zao kwenye biashara unayotaka kufanya, ili watoe urahisi wa kufanikiwa. Usione pale mfano wale wa Dar Kkoo watu wanapiga business, asilimia kubwa wamejiungamanisha kwenye ulimwengu wa roho, nimewahi sikia kwa Mhindi mmoja ana mgahawa maarufu sana, huwa anatamka maneno fulani kabla ya kufanya chochote asubuhi. Na anauza balaa, Wala hakukaa sijui miaka miwili.

Watu wana mbinu mkuu, na hawatazisema labda uwe na ukaribu nao sana.
Kariakoo paache tu, ukiwauliza wanakwambia nidhamu & kujituma
 
Kariakoo paache tu, ukiwauliza wanakwambia nidhamu & kujituma
Bro kuna siri sana kwenye biashara pale, wanakwepa Kodi wale balaa plus na wengine wanatumia ulimwengu wa roho.

Hayo maneno wanayaongea tu, although kwenye kujituma, huwa wanatafuta supply nje ya nchi kama China kwa bei ndogo, halafu huku wanapiga bei ndefu kutokana na carry trade.
 
Uko sahihi ila 90% ya wafanyabiashara hawawezi kuvumilia kwenye Imani ya Mungu.. ndo mana wengi wapo upande wa pili chap chap mambo yamenyooka
Sema njia za Mungu zinahitaji uvumilivu sana na pia uishi maisha matakatifu sana, usikwepe kodi na utoe zaka.

Hapo kwenye kutokwepa kodi ndo watu inawashinda .
 
Back
Top Bottom