Sa 7 mchana
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 5,214
- 10,276
Biashara yoyote mpya matarajio ya kupata faida iwe baada ya miaka 2,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Biashara yoyote mpya matarajio ya kupata faida iwe baada ya miaka 2,
Sema vingine uko sahihi.
Kariakoo paache tu, ukiwauliza wanakwambia nidhamu & kujituma
Ewaah lazima uwe mwanamaombi kweli kweli, Imani ya 4G ila angalau kuliko upande wa pili.Sema njia za Mungu zinahitaji uvumilivu sana na pia uishi maisha matakatifu sana, usikwepe kodi na utoe zaka.
Hapo kwenye kutokwepa kodi ndo watu inawashinda .
Mfano Kuna mtandao upo pale yaan mwekezaji kutoka nje ana back up kubwa ya viongozi wa serikali tena wale wakubwa kwenye issue za Kodi yy ni mwendo wa 'sahau', kama haitoshi ana viwanda kadhaaa sasa kwenye vile anazalisha mizigo mikubwa sana mwenyewe anauza, pia ana wafanyabiashara wa Kati wengi anawazalishia mizigo ya kutosha wanauza anawapa gawio na venye Kodi ni 'sahau' ila hao watu wakikushauri sasaBro kuna siri sana kwenye biashara pale, wanakwepa Kodi wale balaa plus na wengine wanatumia ulimwengu wa roho.
Hayo maneno wanayaongea tu, although kwenye kujituma, huwa wanatafuta supply nje ya nchi kama China kwa bei ndogo , alafu huku wanapiga bei ndefu kutokana na carry trade.
Ewaah lazma uwe mwanamaombi kweli kweli, Imani ya 4G ila angalau kuliko upande wa pili
Ninapochoka upande wa pili ni Ile Kila siku urenew dawa, so hapo unapata dawa mpya plus masharti mapya.
Usipoangalia unafikia level za kutoa sadaka za damu.. hahahah patamu hapo
Mfano Kuna mtandao upo pale yaan mwekezaji kutoka nje ana back up kubwa ya viongozi wa serikali tena wale wakubwa kwenye issue za Kodi yy ni mwendo wa 'sahau', kama haitoshi ana viwanda kadhaaa sasa kwenye vile anazalisha mizigo mikubwa sana mwenyewe anauza, pia ana wafanyabiashara wa Kati wengi anawazalishia mizigo ya kutosha wanauza anawapa gawio na venye Kodi ni 'sahau' ila hao watu wakikushauri sasa
Mm nlijaribu tena sio direct kiasi hicho 🤔🤔🤔walichonifanya task force mpaka Leo naitwa Mpaji Mungu
Biashara ni ngumu sana binafsi naona mtu ni bora uajiriwe tu, watu ni wachawi sana hawataki upige hatua hii ni hadi kwenye kilimo wakiona shamba lako limestawi vizuri unapigwa kombora hatari.
Biashara unatakiwa ujipe muda wa kujifunza na kuijua hata kwa kujitolea kwa mtu
Kubadili badili biashara ambazo huna uzoefu nazo ina maana kila siku ni kuanza upya huku muda unaenda
Mtu hawezi kupa mbinu zake kudadadeq hilo alipo we utasikia omba Mungu tuUlimwengu wa roho kuna sehemu mbili, kwa Shetani au kwa Mungu.
Wote wana kanuni zao kwenye biashara unayotaka kufanya, ili watoe urahisi wa kufanikiwa. Usione pale mfano wale wa Dar Kkoo watu wanapiga business, asilimia kubwa wamejiungamanisha kwenye ulimwengu wa roho, nimewahi sikia kwa Mhindi mmoja ana mgahawa maarufu sana, huwa anatamka maneno fulani kabla ya kufanya chochote asubuhi. Na anauza balaa, Wala hakukaa sijui miaka miwili.
Watu wana mbinu mkuu, na hawatazisema labda uwe na ukaribu nao sana.
Mafanikio siyo masihara kuna mambo mazito sana, kuna watu wapo tu furaha yao ni kuona umeshindwa yeye hata akikushindwa anaenda kuomba msaada kwa mchawi mwenzake yaani watu wanakukalia kikao kabisa cha kukaanga, Hapo ndiyo huna Mungu kisawasa ndiyo kwisha habari yako.Mkuu watu humu wananibishia sana.
Alafu unakuta hawajawahi jaribu kufanya .
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Mpaka sasa naishi kwetu sijawahi fanya biashara yeyote so nasoma comments siku nikitoka hapa home nijue nafanyaje.
Mkuu pole,mchaw alikua soko au?Mwezi wa 8 nimenunua mashine ya kubirigua magogo nikaingia chimbo kilichonikuta huko porini... Zaidi ya mil6 zilizama najionea, nimekaa miezi miwili porini narudi mjini sina kitu na mtaji wangu nimechoma. sitousahau mwaka huu
Bottom line nyie mlipitia njia gani?NB - Ulimwengu wa roho sio kupitia Shetani tu, hata kupitia njia za Mungu inawezekana.
Mimi sikubishii mkuu, najua biashara zina mambo mengi ndio maana nataka tushauriane hapa ili angalau hata kama hatutatoboa, basi tusaidie wengine wasiendelee kuchoma mitaji bure..Mkuu watu humu wananibishia sana.
Alafu unakuta hawajawahi jaribu kufanya .