Bro naona wengi wameshauri mambo mazuri tu kama location, juhudi, kufanya utafiti wa biashara unayotaka kufanya, na pia nidhamu ya pesa, inabidi uwe mbahili, narudia tena mbahili kama unaanza.
Kubusu ulimwengu wa roho the choice is yours ila upande wa Mungu, inahitaji usali sana na utoe asilimia kumi za mtaji alafu ukisali kwa Imani then ukipata faida utoe tena 10% ya ile kwa Mungu, 90% ya kwako alafu utakuja kuniambia.
Sali Baba yetu wa Mbinguni kwa Mkristo then omba kwa nia njema, ila sasa usifanye uovu, hata demu usimtamani.