Ulifanya kosa gani Shuleni Hadi kengele ya dharura ikagongwa watu wakaja mstarini kwa ajili yako?

Malizia mkuu umeishia patamu
 
Itoshe tu kukuambia sisi ni pipo.
 
Unapiga hizo ndude mbele ya hao jamaa. Siku zote msabato lazima achomoe betri.
 
Mimi ni mkongwe kidogo Mwaka 1988 tulibaka mtoto wa Mwalimu mkuu, tulikuwa mtu 8 . Kengele ilipigwa na walimu wakajipanga wa shule nzima . Hakuna Cha kwenda polisi kipindi hicho ila Cha moto nilikipata . Kila Mwalimu alikuwa anakupa viboko Saba unaenda kwa mwingine . Hadi Leo issue ya wanawake zinanikumbusha Hilo TUKIO nilitamani Hadi kuwa padre . Chezea mboko za enzi hizo
 
Mwamba mwenyewe πŸ˜€πŸ˜€ story nzurii
 
Mimi nimesoma day sasa nilimdanganya bimkubwa hela ya Mock examinations nikatia cha juu.Sina hili wala lile kwa mbali nikamuona bibi anatinga skuli kufanya uhakiki.Huku nyuma kengele ikapigwa nikatuhumiwa nimekula hela ya mstaafu.
Kwa zile stori majamaa walivyokuwa wananipa na mateacher walivyokuwa wananitamani.Kufika homu nikamwambia bibi niliongeza cha juu na bila kushurutishwa na mtu nimeamua kuacha shule .
 
Watu aina yako ndo mnatusumbua serikalin mpaka wa leo ,mna gushi mikataba ya uongo ,mnaingiza nchi matatzon Kwa akili zenu zilizo pitiliza
 
Kupiga vibao matron mimi na shoga angu Mkurya mmoja hivi. Kengele ikagongwa tukalambwa stick na kuambiwa tufuate wazazi. Tukakodi wazazi wa mchongo kufika ofisini Matron akasema kama hatufukuzwi shule yeye anaacha kazi tukaona jau hapa. Kuna manzi moja Matron aliwahi iomba rushwa ili ampitishie magendo na sisi tulikuwaga tunampa hela atununulie vitu nje tukaanza kusema kuwa Matron huwa anaomba Rushwa. Badae ikawa win win situation tukapigwa pale viboko na wale wazazi feki tukaendelea na Masomo.
 
Jamani jamani πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ mnaniua kwa kicheko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…