Ulifanyaje kipindi huna hela, yaani maisha yamekupiga total knock out?

Bora wewe ulipewa nafasi hiyo ya kubeba.

Mimi nilienda kwenye kufyatua tofali.

Niliishia kupewa buku na kuambiwa kanywe chai.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Maana ningeharibu matofali yao kwa hekima ile jamaa aliamua kufanya vile.

Ningekuwa karibu tena na ile sehemu, kuna siku ningeenda kumuungisha kwenye tofali zake tena akiwepo huyo jamaa ili atambue kuwa NYAKATI NGUMU HUWA HAZIDUMU
 
Jast lerax rife is to simpre
 
sometimes ni vyema kutambua ulipotoka na kupitiaaaaa aseeee hongera auditor kwa kutambua ulipo pita
 
mie kigezo urefu ndo walinichagua issue ni kujaza zile column aseeeeee kubeba zege almanusura nijinyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Zinaa ni adui mkubwa sana...zinaa anachelewesha baraka zako
 
Ulikua mtu wa zinaa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…