ngoja nitakupa njia kalii...SOMETIMES KUBET NI KAMA BAHATI TUU , WENGINE TUNA BET TUNALIWA BIN VUUUU YAAANI FFULL SHIDA ILA KUNA WATU WANA BET WANA KULA THEN WANA JENGA ...NIPO NAPITIA TWITTER ACCOUNT YA https://twitter.com/Ekitipikin HAPA YAAANI JAMAA KAWAFILISI MAKAMPUNI YA KUBETI HUKO NAIJA NA KAJENGA INVESTMENTS ZAKE NA LIFE LAKE LINASONGA KISELA ZAIDI ................HIVI KIBONGO BONGO HAPA INAKUAJEEEE WAZEEE HIVI KUNA WAMBA WAME SUCCEED KWA KUBET KWELI ????
Wewe pumbu umezitoa wapiNa kubet ndo vile kina Chelsea tunawapa ushindi wanatukamata mbupu
Lerax 😂Lerax
Pole,jaman daahAmakweliiiiii kusoma sio kazi, kazi ni kugeuza elimu ya degree yako kuwa kazi/pesa.
Kaka mkubwa ukiwa na maisha magumu usiogope ugumu wa kazi maana maisha yako ni magumu kuliko hata hizo kazi ngumu.NA UMRI UNAENDA LIFE HALISOMI...NILIJARIBU MISHE ZA KUBEBA ZEGE.........LAKINI SIKURUDI SIKU YA PILI MAANA NILIAMKA NUSU MFUU...............MISHE ZA NYANYA KUCHUMA ASEEEEEEEEE THEN UNALIWEKA KICHWANI UNAPELEKA KWENYE LORY ASEEEEEEEEEEEEEE KUMBE MAISHA YA KUSOMA /KALAMU NI TOFAUTI NA MAISHA YA KUTAFUTA
Unaamini sana kutoboa kupitia betting na hizo story za mafanikio ya wakubet mtandaoniSOMETIMES KUBET NI KAMA BAHATI TUU , WENGINE TUNA BET TUNALIWA BIN VUUUU YAAANI FFULL SHIDA ILA KUNA WATU WANA BET WANA KULA THEN WANA JENGA ...NIPO NAPITIA TWITTER ACCOUNT YA https://twitter.com/Ekitipikin HAPA YAAANI JAMAA KAWAFILISI MAKAMPUNI YA KUBETI HUKO NAIJA NA KAJENGA INVESTMENTS ZAKE NA LIFE LAKE LINASONGA KISELA ZAIDI ................HIVI KIBONGO BONGO HAPA INAKUAJEEEE WAZEEE HIVI KUNA WAMBA WAME SUCCEED KWA KUBET KWELI ????
Hama moshi sio sehemu ya kuanza kujitafuta na ukajipata kirahisi.Issue nipo Moshi, huku hakunaga hizo bolt bin uber, huku ni bajaj mostly na hata kisela kisela ni ngumu kugusa chombo cha mtu, unaweza kung'utwa mpaka usahau kuwa una njaaa.
Chelsea na man utd sio timu za kuaminiNa kubet ndo vile kina Chelsea tunawapa ushindi wanatukamata mbupu
Kuna sisi wabishi bado tunawapa ushindi kina Chelsea 🤦♀️Chelsea na man utd sio timu za kuamini
atakwambia yeye na babe wake ni mwili mmoja, kwahiyo akishikwa babe ni sawa kashikwa yeye pia...Wewe ni me au ke? watu wa humu hamueleweki.
Hahaha..Nilishawahi kukwambia mimi ni mwanamke?
Bora hiyo hela nigonge safari zangu mbili nilale vizuriKuna sisi wabishi bado tunawapa ushindi kina Chelsea 🤦♀️
Kumbe upo moshi huko jau sana ajira pekee kwa vijani ni viwanda vya mkonge tuIssue nipo Moshi, huku hakunaga hizo bolt bin uber, huku ni bajaj mostly na hata kisela kisela ni ngumu kugusa chombo cha mtu, unaweza kung'utwa mpaka usahau kuwa una njaaa.
iyo km upo dar vip kama mdau yupo mkoan amna uber wala bolt?Vamia Car Wash iliyo karibu nawe au kuna Parking za Bolt na Uber wahi hapo tafuta madumu yako kadhaa sabuni ya 500 na kitaulo chako ukifika zimepaki 2/3 anza kazi wewe OSHA tu, akija atakutoa.
Sokoni, Unajua kuna mishe gani.MANYEMA PALE SOKONI MZEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE AU WAPI ??? VIPI KUNA MISHE GANI HUKOO MANYEMA ????
[emoji23]Watu wamevurugwa mbaya [emoji28][emoji28]