Mbishi Uswazi
Senior Member
- Feb 7, 2020
- 170
- 315
Ushauri wa hovyo kabisa, simu ndo kila kitu, hata ikipatikana nafasi ya kazi au kibarua inakua rahisi watu kumjuzaUza simu hio unayoingia mayo jamii forum alafu nunua unga na michele weka ndani na gas jaza kabisa utakuja kunishukuru badae alafu ingia mtaani au njoo hulu town pita kila ofisi omba kaz kila siku ndani ya wiki utakua ushapata
Usiuze simu jamaa kaza hivyo hivyo, mi niliwai kusaidiwa na mtu humu ndani yupo USA,watu wema wapo naamini utasaidika iwe mtandaoni au mtaani usikate tamaa