antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Kama wanawasiliana maana yake ni kuwa mapenzi yao bado yanaendeleaMKimbie mwanamke anaye wasiliana ex wake kwani mda wowote utapigwa tukio.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama wanawasiliana maana yake ni kuwa mapenzi yao bado yanaendeleaMKimbie mwanamke anaye wasiliana ex wake kwani mda wowote utapigwa tukio.
Hatupendi wanaume waliozubaa.Wanawake wanapenda wanaume makahuzu, wabishi,waongowaongo,
Mwanaume ukiwa nicenice utatoswa mpaka yesu anarudi
Baadae tena mseme mnanyanyaswaHatupendi wanaume waliozubaa.
Kunyanyaswa inategemea na mtu mwenyewe tabia yake, hakuna uhusiano ati mwanaume akiwa kazubaa ndio atakua sio mnyanyasaji.Baadae tena mseme mnanyanyaswa
Et nae amekuja kweli.....👋👋👋🤣🤣🤣Hayanaga formula!!! Linabadilika anytime!! Poor Brain Tinsley mkuje nahukuu
Mangwair kwenye ngoma ya mikasi anasema,Me nafikiri kama kichwani mtu amejaa mawazo hasi na moyoni amejaa sumu kwasababu ya negative experiences alizopata, aachane na mahusiano. Heal yourself. What's the purpose of you being in a relationship?
Sasa je!! wewe si una fujooo!!Et nae amekuja kweli.....👋👋👋🤣🤣🤣
Good jobJana:
Click click Simu inaita namba ngeni napokea
Mimi: hallo
Ex: hello habari
Mimi: salama (nikawa navuta picha hii sauti ya nani sauti ya kike)
Ex: unanikumbuka?
Mimi: hapana namba ngeni ila hii sauti ngeni masikioni
Ex: mimi ni @&#"- nilikupigia kwenye ile namba ya Airtel ukawa hupatikan
Mimi: ooho sawa (nikavuta picha huyu mtu ni mwaka umekata leo kanitafuta anataka nini huyu?)
Ex: kuna ile document uliacha pale ofisini kipindi kile kuna mtu anataka kwenda kuifuatilia
Mimi: sawa we muambie tu akienda pale reception awaelekeze watampatia (nikajiuliza huyu yaan kanitafuta kwa ajili ya document tu basi huu ni uongo)
Ex: sawa nitamuelekeza...
Nikakata simu, mambo yasiwe mengi
Nikampotezea, "once a ex, always a ex", huwa hawana jema sirudiagi matapishi 🤮.
Huku si uwanja wa nyumbani... Utanionea tuu bure🤣🤣Sasa je!! wewe si una fujooo!!
SawaNamba 1
Mkishachezewa na kuharibiwa future na Kuwa single mamas ndio mnatafuta wanaume waliozubaa mmalizie nae maisha, wanaume tukatae Ma scrapper Hadi ladha hamnaHatupendi wanaume waliozubaa.
Kwan wewe umeelewaje? Mbona uchungu mwingi kuna mahala umelazimishwa kuoa skrepa??Mkishachezewa na kuharibiwa future na Kuwa single mamas ndio mnatafuta wanaume waliozubaa mmalizie nae maisha, wanaume tukatae Ma scrapper Hadi ladha hamna
Hivi yule mchekeshaji,mchungaji, mchungaji mchekeshaji au mchekeshaji mchungaji.Ninauliza tuNdiyo