Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
🤣🤣🤣 Ukimanisha....halafu ukijijua akili kubwa raha sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣 Ukimanisha....halafu ukijijua akili kubwa raha sana
Dah kumbe umenotice hicho kitu,anashushaa magazeti tu[emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23]kama kawaida yako mdada mwenye mistress kichwani we Sijui post gani uliichangia positive na essay zako ndefu zilizo nonsense..
[emoji28][emoji28]nahisi alisoma elimu ya kale kila swali maelezo ya kutosha..Dah kumbe umenotice hicho kitu,anashushaa magazeti tu[emoji28][emoji28]
Msamehe tu[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]nahisi alisoma elimu ya kale kila swali maelezo ya kutosha..
Umeongea PointMwanamke yeyote wa kisasa (namaanisha mwanamke anaeshindana na dunia) ana tamaa tena tamaa mbaya. Na siku zote tamaa mbaya huzaa Ubinafsi
Ubinafsi ni kujijali mwenyewe na kutokujali hisia za wengine, Mtu asiejali hisia za mwingine ni adui... Wengi tunaingia kwenye mahusiano na maadui na kujikuta tunawapa nafasi katika mioyo, akili na hata mwili, tufanyapo hivyo
Kwisha Habari
Hapo kuna exception kwa sababu ni stranger na maybe hakuwa interested na wewe so huwezi conclude moja kwa moja kuwa ni mbinafsiUmeongea Point
Kitu ambacho nampima Mwanamke kwa sasa ni je sio MBINAFSI? Je ana TAMAA? hivyo ndio vitu vya msingi sana kabla ya kuangalia neno MAPENZI ya dhati.
Juzi kati nilipanda Daladala akaja Mdada mzr kwel kwel, nikasema huyu hanishindi nikitak kumtokea ila nikajiuliza je ni walewale? Nilichofanya kabla kondakta hajaja nilimuomba anilipie nauli (in a mid serious way) alichonijibu kuwa "Siwezi kukulipia nauli labda unilipie wewe alaf mie nikulipie siku nyingine" anaongea hivyo huku kashik elf 10 nauli ni 500 tu, bas akaja kondakta nikalipa naul yangu na yake. (Akashukuru) nikapokea nikawa busy na simu mpk nashuka ktk gari sijamuongelesha tena. Tulishuka wote na mie nikatangulia mbele kwa mwendo wa (I don't care anymore)
For me ilikuw test ya kupima Utayari na ubinafsi wa mtu hata kwa Stranger ana react vipi? Au ana negative perceptions? Ana faa hata kuwa nae karibu kama friends? Jibu ni NO.
sure mkuu, mtu unakuwa na pisi hata zawadi haikuletei inataka uiletee wewe kwanza... Pisi zina roho ya kimaskini na ubinafsi kichizi, Yaani ni pisi ambayo imejijengea kwamba mwanaume hawezi kula hela yake ila yenyewe ndo anastahili kula ya mwanaume... Binafsi kujua tabia hiyo huwa naijua ndani dk 0 tu naijuaje? Mfano pisi zile ambazo hadi ianzwe salamu na yenyewe ndo imekukuta umeitangulia kabla... unailia wambuzi mwanzo mwisho wa safari umeng'ata meno.Umeongea Point
Kitu ambacho nampima Mwanamke kwa sasa ni je sio MBINAFSI? Je ana TAMAA? hivyo ndio vitu vya msingi sana kabla ya kuangalia neno MAPENZI ya dhati.
Juzi kati nilipanda Daladala akaja Mdada mzr kwel kwel, nikasema huyu hanishindi nikitak kumtokea ila nikajiuliza je ni walewale? Nilichofanya kabla kondakta hajaja nilimuomba anilipie nauli (in a mid serious way) alichonijibu kuwa "Siwezi kukulipia nauli labda unilipie wewe alaf mie nikulipie siku nyingine" anaongea hivyo huku kashik elf 10 nauli ni 500 tu, bas akaja kondakta nikalipa naul yangu na yake. (Akashukuru) nikapokea nikawa busy na simu mpk nashuka ktk gari sijamuongelesha tena. Tulishuka wote na mie nikatangulia mbele kwa mwendo wa (I don't care anymore)
For me ilikuw test ya kupima Utayari na ubinafsi wa mtu hata kwa Stranger ana react vipi? Au ana negative perceptions? Ana faa hata kuwa nae karibu kama friends? Jibu ni NO.
Sh 500 kwake isingempunguzia pakubwa kiasi cha kuanza kuangalia huyu namjua or simjui.Hapo kuna exception kwa sababu ni stranger na maybe hakuwa interested na wewe so huwezi conclude moja kwa moja kuwa ni mbinafsi
Labda kama mngekua mnafahamiana na akakaza kukulipia nauli ndo unaweza sema ni mbinafsi
Heheh, amna watu wachoyo kama WANAWAKE. ingawa ukimbahatisha yule aliye real utakula sana zawadi zawadi zake etc , ingawa miaka ya hiv karibuni wameisha hao. Wapo wale wa nitumie na ya kutolea.sure mkuu, mtu unakuwa na pisi hata zawadi haikuletei inataka uiletee wewe kwanza... Pisi zina roho ya kimaskini na ubinafsi kichizi, Yaani ni pisi ambayo imejijengea kwamba mwanaume hawezi kula hela yake ila yenyewe ndo anastahili kula ya mwanaume... Binafsi kujua tabia hiyo huwa naijua ndani dk 0 tu naijuaje? Mfano pisi zile ambazo hadi ianzwe salamu na yenyewe ndo imekukuta umeitangulia kabla... unailia wambuzi mwanzo mwisho wa safari umeng'ata meno.
wapo wanaoweza kuishi nao ila me siweziHeheh, amna watu wachoyo kama WANAWAKE. ingawa ukimbahatisha yule aliye real utakula sana zawadi zawadi zake etc , ingawa miaka ya hiv karibuni wameisha hao. Wapo wale wa nitumie na ya kutolea.
[emoji23][emoji23][emoji23]Anakipaji cha kuandika nonsense
Wazanzibari wanapenda used yani Zanzibar kila kitu used Wanawake used, Magari used, Vitu vya ndani UsedMkishachezewa na kuharibiwa future na Kuwa single mamas ndio mnatafuta wanaume waliozubaa mmalizie nae maisha, wanaume tukatae Ma scrapper Hadi ladha hamna
Sina huruma nao hawa viumbeMkuu una akili sana, hapo kwenye kuwakunja nakupa 100 alafu kwenye huruma kwa hivi viumbe hautakiwi kabisa.. Wa