Ulijifunza nini kupitia penzi lililopita?

Mkuu una akili sana, hapo kwenye kuwakunja nakupa 100 alafu kwenye huruma kwa hivi viumbe hautakiwi kabisa.. Wa
 
Kweli kabisa tena ma x wakirudi wanapiga mizinga ya hela ndefu mara nyingi shida ndo zinawarudisha.
 
So you mean you didn't even learn a single positive lesson in your r/ ships?
 
kutokurudiana na X ni jambo muhimu sana kwenye ulimwengu wa mapenzi. Akishakuwa X, ni X milele, hakuna tena nafasi ya kurudisha mapenzi
Unasemaje wewe?? penzi linavonogaga vile? usirudi kwa sababu gani?? kuna watu wanajua kukunwa na kukuna, ikatokea bahati mbaya! (hizo haiepukiki) tukaachana ajili ya mchawi mmoja tu!

asa kwa nini nisirudi hata kwa uchawi! kuna watu wana papuchi/shedede hata ukilala hivi utaliota maisha yako yooote kwa nini nisirudi????? ukijishebedua saaana nakuua! kivyo!! vyote vile!

Usichezee mapenzi wewe mtoto! km unaona bado umri! acha usije kujaribu!...unamkuna mtu eti unasema hapa napita tu! weeee!!.......tena mbaya zaidi unampunga, Akili, kazi, doooooo!

hata umuachie ke/me majumba nusu yake! asee huko hutakuwa salama njia ni kurudi kwa magoti hapa hutaki nife mimi au ufe wewe! au wote! km ke anaua mwanae! wewe nani umtese?

ukiona me/ke umeachwa salama tu......tambua ni kwa kuwa huna nyota ya mafanikio!! kuna manaume/ke yana nyota za mafanikio karibu zooote humu Duniani hawa ndo hawaachagwi na ke!....chunguza uone
 
[emoji23][emoji23][emoji23]kama kawaida yako mdada mwenye mistress kichwani we Sijui post gani uliichangia positive na essay zako ndefu zilizo nonsense..
 
Inategemea kwa x ni kipi kiliwafanya muachane. Inaweza kuwa wewe ndo ulikuwa tatizo
 
Eti kasema sauti ndogo πŸ“’
 
mdada mwenye mistress kichwani we Sijui post gani uliichangia positive na essay zako ndefu zilizo nonsense..
Ukiona hivo basi ni jua wazi kuwa umenikubali kishenzi, mpaka umesahau mwenye uzi! nina mvuto wa akili za pekee! na
kuacha yooote unahamishia mi avaatar yako yote hapa kwangu daaa!..... nina Mvuto wa kipekee! akili kubwa hii! leta lingine tena!! wala hata siku-blocku!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…