Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
-
- #241
Rule namba 1, USI amini la kuambiwa na yoyoteππ.Kumbuka rule namba 1
Kitanda hakizai haramu
Then kumbuka rule namba 2
Mtoto wa mwenzio ni wako π ππ
habari gani Sasa , π€π€£Acha hizo habar mdogo angu
Za kugonga gonga unaruka rukahabari gani Sasa , π€π€£
Bro katika watu makini, Mimi ni Ile pure 000.1 kati ya hao.Za kugonga gonga unaruka ruka
Yani we acha tu.Ila lazima uogope rafiki, imagine wazazi Wana ona hii kenge ime wahi wapi ππ.
Hapo USI kute wali kuwa Wana taka upige kitabu hatarii.
Vipi shemeji yetu haku taka kukimbia aisee??, maana nahisi nae alikuwa mdogo!!
Ila hongera Sana mkuu.
Weeeeehπ€£π€£π€£π€£π€£Rule namba 1, USI amini la kuambiwa na yoyoteππ.
Rule no 2, kaa kimasta, hisia sio mzigo mzuri.
Hongera Kwa kufaulu, hope uta walinda wanao kisawa sawa.Yani we acha tu.
Na nilikuwa na akili hatar, as pamoja na mimba bado nilifaulu fresh mtihani wa kidato cha nne.
hata naye was mdogo ,tulikuwa tunawahi nini sijui yarrabi
Kwasababu gani dogo?πHalafu bro Ivan Stepanov siku hizi ume kuwa apostle nini π€ππ
Sasa hivi una toa usia kizee kabisa ππ, kuna mwana Ali zungumza kitu kidogo.Kwasababu gani dogo?π
1. Changamoto mlizo kumbana nazo, kabla na baada ya kuwa mzazi. (Hii kwa wanaume na Wanawake, ita pendeza mki elezea kwa kina zaidi).
Uta muita nani ??, usije muita cheusi mangara ππ financial servicesI can't wait... Mungu saidia π
Hahaa mimi napenda Jina liwe na Initial ya jina la Baba yake mfano kama wewe unaitwa Intelligent basi jina la mtoto litaanzia na "I".....Uta muita nani ??, usije muita cheusi mangara ππ
Hiyo toto ikiwa ya kike tuta ita cheusi Mangala, ikiwa dume sisi ita yeye cheusi makala in muhindi voice ππ.Hahaa mimi napenda Jina liwe na Initial ya jina la Baba yake mfano kama wewe unaitwa Intelligent basi jina la mtoto litaanzia na "I".....
Nilipita hapa kijana Intelligent businessman lakini hukuona,tatizo macho juu juu kama unatafuta pakujificha mara baada ya kuambiwa "hii mimba yako"Baada ya kupewa taarifa na yule binti "nina mimba yako" umeona ufike kujiliwaza hapa.
Huja wahi kuni takiwa jemaππ, I remind you, karma sio kitu kizuriπ€£πBaada ya kupewa taarifa na yule binti "nina mimba yako" umeona ufike kujiliwaza hapa.
Mimba gani??, halafu binti gani huyoπ€£πNilipita hapa kijana Intelligent businessman lakini hukuona,tatizo macho juu juu kama unatafuta pakujicha mara baada ya kuambiwa "hii mimba yako"