RUSTEM PASHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2016
- 4,707
- 11,365
Wafate akili zangu tu au za mama yao sio mbaya, labda huyo Zube niwe nimepigiwa au mipango ya Mungu lakini nikioa haka kabinti basi nauhakika wakilisi popote watakua wamepata.Sawa umechelewa watoto watakuwa mazube tofauti na ungewazaa ukiwa 20s π
Mi watu km wale nawapenda stress free π€£π€£π€£Kwakweli madame Yuko na vibe, hajawahi kukera
Mie nipo jirani KIU karibu sana mkuu πNiko ulongoni karibu jirani π€£
They don't act umalaikaπ, ndo nachompendeaMi watu km wale nawapenda stress free π€£π€£π€£
Kuona mvi kwa vuzi
ππππ JidanganyeWafate akili zangu tu au za mama yao sio mbaya, labda huyo Zube niwe nimepigiwa au mipango ya Mungu lakini nikioa haka kabinti basi nauhakika wakilisi popote watakua wamepata.
Na umeamini kabisa kabisa kabisaaa kuwa Lamomy kakukimbia?umenikimbia Sasa umepata jilan huko Goms.
nilipoaanza kuona mchepuko sio deal ndio nikajua sasa nimekua dingii π
Mvi kichwani kwenye ndevu na kwenye kope za macho na kwenye .... Alafu Meno hayana ushirikiano tena yanaanza kuchomoka yenyewe asee naelekea kua Babu wajukuu zangu
Haya jirani ntakaribia πMie nipo jirani KIU karibu sana mkuu π
Na hiyo ndo sifa kubwa ya watu sio wanafiki π€£π€£π€£π€£They don't act umalaikaπ, ndo nachompendea
Mzee kijana sioTena anajisifu anavyofanya uharibifu π€£π€£π€£
Huyu ndio ile mizee ukiipa mkono kuisalimia inakutekenya π€£
Kwakweli ππ,, watu wanajifanyaga Malaika walinzi Hadi nyuma ya keyboard yanini yote hayoπNa hiyo ndo sifa kubwa ya watu sio wanafiki π€£π€£π€£π€£
π€£π€£π€£π€£π€£ Kweli nimehama bonyokwa nyumba inauzwa na bankNa umeamini kabisa kabisa kabisaaa kuwa Lamomy kakukimbia?
Lini utakuja nikuandalie keki ya upako na juisi ya upako?Haya jirani ntakaribia π
Kwangu mimi ni pale wale niliyokuwa naona kama tuko rika moja lakini tukikutana wananipa shikamoo, kingine ni mvi kwenye kidevuKwangu pia hivyo hivyo. Kila ninayekutana naye hunipa hizo Shikamoo. Siyo Shikamoo tu bali wanaongeza "Shikamoo Mzee". Ni wachache sana ambao mimi huwapa hiyo salaam.
Wengi waongo uko pm ni gawagawa.com π€£π€£π€£π€£Kwakweli ππ,, watu wanajifanyaga Malaika walinzi Hadi nyuma ya keyboard yanini yote hayoπ