Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Amen 🙏Usihofu nitawafyeka wote na huwaona tena.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amen 🙏Usihofu nitawafyeka wote na huwaona tena.
Usiogope,mama Yako angeogopa jf ungeiona wapi?;!!Hongera dear.. Napenda katoto Ila naogopa🥲🥲🙈
Acha umbea 🤣🤣🤣Hahaha 😂😂😂... Uje unitajie huku uani 😃😃🙌
Gomz cha urithi 🤣🤣🤣
Eeee wazazi mi ni jukumu lao mpk nakufa, sijawatumia maombi wanilete duniani ni mapenzi yao 🤣🤣🤣🤣Kumbe bado mna urithi 😂😂
Hapana hapana hapana😂Acha umbea 🤣🤣🤣
Utaanza kujichekesha ukiwaona jukwaani
Muone😂😂😂Usiogope,mama Yako angeogopa jf ungeiona wapi?;!!
Sikupi huo ubuyu ng’o 🤣🤣🤣Hapana hapana hapana😂
We haya😂😂.. Nikiingia chimbo langu nikirudi hapa wote nawajua we subiri 😃😃Sikupi huo ubuyu ng’o 🤣🤣🤣
Yaani wewe sijui nikupe sifa gani 😂Eeee wazazi mi ni jukumu lao mpk nakufa, sijawatumia maombi wanilete duniani ni mapenzi yao 🤣🤣🤣🤣
KabisaKwakweli,, wacha niusikilize moyo kwanza nisije kuangukia pua
Ingia tuone 🤣🤣🤣🤣We haya😂😂.. Nikiingia chimbo langu nikirudi hapa wote nawajua we subiri 😃😃
Kwanini.??? 🤣🤣🤣Yaani wewe sijui nikupe sifa gani 😂
Nikikupa sifa ya "we ni nyoko sana" utasema nimekutukana?
Una kejeli za rejareja😁Kwanini.??? 🤣🤣🤣
Kweli? 🤣🤣🤣🤣Una kejeli za rejareja😁