Ulikosea nini maishani hautaki mwingine arudie kosa kama hilo

Wewe utateswa paka akili ikukae sawa pumbavu.
 
Wewe utateswa paka akili ikukae sawa pumbavu.
 
Yule mbwa kaibiwa simu ya kwanza kwenye daladala, nika mnunulia nyingine juzi kaenda sehemu nka mwambia usiende uko sio safe ka force kwenda,

jana usiku wenye kazi zao za usiku wame loa simu .afu asubuhi ana jiliza ..kinacho niuma sio yeye kinacho niuma ni pesa yangu aija maliza hata week ningefanyia mambo mengine nilio weka pending kwa ajili yake
 
Mnunulie nyingine mkuu kaibiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…