Ulikuta kitu gani kwa Watu ukajua "hapa pesa ipo"?

vipi mmetoboa wangapi au wote mme hifadhi vyeti makabatini?
Wote tuna Maisha yetu Ila Sio Matajir tupo uchumi wa kati juu ikiwa na maana TUNAWEZA KUSAFIRI NA NDEGE (AEROPLANE ✈️)

Na mengineyo mengi mazuri mazuri

NB.
Sipo hapa kujimwambafy ama kujifanya superior being nipo kubadilishana MAARIFA na kujifunza.
 
Hongereni sana mkuu kamwe msiache ibada
 
Wa kumshukuru ni mchina maana kama hali ingekuwa ile ile ya kumiliki JVC, SONY na Panasonic nafikiri kwa sasa bei ya TV ingekuwa ni sawa na bei ya magari mengi yaliopo barabarani😀
Balaa Sana mlangoni mnaweka ndoo za maji masufuria na sahani vikombe in case mwizi akijaribu kufungua mlango vipige kelele kuwa amsha.

Ndio ivyo HITACHI, PHILIPIS nao waka take over
Hakika mchina kafanya mapinduzi makubwa Sana kwenye Electronics appellant.
☺️☺️
 
Transaction ya 200M kwa kutumia kadi hapa Bongo??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…