Wachagga kwao Christmas migombani.....Wakuu,
Disclaimer🫢 Hapa hatuongelei pesa madafu
Kuna mtu alisema ameenda kwa rafiki yake akakuta wana pump ya mafuta kwao🤣🤣🤣🤣
Yaani mambo za kwenda sheli si habari zao. Wanamaliza tuu hapo nyumbani
Hata mimi ningeshtuka kwa kweli 😀
Wewe ni nini uliona kwa Watu ukajua pesa ipo?
Hata Kama ni kubana matumizi jamaa anabana matumizi kwa kiwango Cha SGRMkuu Kuna vitu vya kufikirisha sana unabaki kucheka tu. Unajiuliza huyu jamaa shuka la wagonjwa alipata wapi ujasiri wa kulibeba na kuanza kulalia kabisa bila wasiwasi!
Uji (wakurya wanaita Uchi)Chai? [emoji16]
Hakika mkuu 🙏Hongereni sana mkuu kamwe msiache ibada
🤣Nilienda kurudisha fomu nikakuta mtendaji amefunga ofisi…
Nikajua kabisa hapa hela ipo
Nishaendaga na mwanangu mmoja kwao siku zile za free shule za boarding. Ukiachana na mjengo mkali ndani nilikuta kaunta kama ya bar aisee ina ma vinywaji ya ulaya utasema yale masebule ya kwenye muvi za kinaijeria. Iyo ilikua 2011 na ilikua mara yangu ya kwanza kuona kaunta ya bar ndani , mafanicha meupe peee!! Aisee kuna watu wanaishi.Wakuu,
Disclaimer🫢 Hapa hatuongelei pesa madafu
Kuna mtu alisema ameenda kwa rafiki yake akakuta wana pump ya mafuta kwao🤣🤣🤣🤣
Yaani mambo za kwenda sheli si habari zao. Wanamaliza tuu hapo nyumbani
Hata mimi ningeshtuka kwa kweli 😀
Wewe ni nini uliona kwa Watu ukajua pesa ipo?
Kwa vipi?? 🙂Sema mi mtu anaekula mtindi namuona katili sana..
Wale watu wanaweza kujinyonga
Sio unakaa sehemu mawimbi yanakupiga mpaka yanakuumiza kifua 😂🤣 nilizunguka kule nyuma nikawa nashangaa bahari ilivyo na mawimbi ya kistaarabu.(mawimbi madogo madogo kama chips za kinondoni)
Jamani hapa dar kuna maeneo ni mazuri nyie.
Nchi yenu au nchi yao?Kama vipi Tuwachenchie Tu ama Tuwaachie nchi yetu..
Anasikika sana Redioni boss mkuu Mamaake...
Baba marcom apa, Unjuuu...
Mm nmemuuliza n bill ya kulipia nn ety akasema bidhaa mbali mbali 😂Transaction ya 200M kwa kutumia kadi hapa Bongo??
Niunganishe kwenye circle nyingine kwanza, hii yangu hapana 😂Piga chini wote 🤣🤣
Philips alikuwa muingereza anachuana na wajapan. Baada ya kuja Hitachi na Sony Bravia kusumbua mwishoni mwishoni kuanzia 2007 ndo mkorea akaingilia soko kwa Samsung na LG electronics. Baada ya mkorea ndio kaja mchina sasa kwa bei rahisi kupitia Singsung na RisingBalaa Sana mlangoni mnaweka ndoo za maji masufuria na sahani vikombe in case mwizi akijaribu kufungua mlango vipige kelele kuwa amsha.
Ndio ivyo HITACHI, PHILIPIS nao waka take over
Hakika mchina kafanya mapinduzi makubwa Sana kwenye Electronics appellant.
☺️☺️
MuongoMm nmemuuliza n bill ya kulipia nn ety akasema bidhaa mbali mbali [emoji23]
Mkuu hii watoto wa 2000 hawatakuelewa mambo ya jiwe Fatuma🤣🤣🤣🤣chumbani enzi izo Kuna wizi wa fatuma..
Yaani jamaa wanakaa Petrol Stesheni-Sheli?Wakuu,
Disclaimer🫢 Hapa hatuongelei pesa madafu
Kuna mtu alisema ameenda kwa rafiki yake akakuta wana pump ya mafuta kwao🤣🤣🤣🤣
Yaani mambo za kwenda sheli si habari zao. Wanamaliza tuu hapo nyumbani
Hata mimi ningeshtuka kwa kweli 😀
Wewe ni nini uliona kwa Watu ukajua pesa ipo?
Baaaasi tushapajua si kule unapita njia bara bara ipo juu juu kidogo🤣🤣Nilikua naendesha gari ya mizigo nikapata kazi kupeleka mavyuma fulani hivi mbweni, sikwenda na mtu ila nilipewa namba ya simu nikaambiwa ukifika maeneo fulani piga simu kuna mtu atakufuata.
Mie huyoooo nilipofika eneo la tukio nikapiga simu full kufoka nimeshafika muda mrefu hapa, dk 0 ikaja V8 nyeusi tiiii. Ikaja kuni block kwa pembeni, jamaa akashusha kioo akasema nifuate.
Asee kila kona tunayokunja ni mijengo ya maana, mitaa mizuriii halafu pako kimyaaa, tukafika mpaka nje ya mjengo mmoja geti kuubwa, lile lango likafunguliwa kwa rimoti tukazama ndani.
Asee ile kuingia ndani nikawa nashangaa shangaa tu hata sielewi, lilikua bonge la jumba, swimming za maana halafu juu ya paa kuna parking ya helicopter, mataa ya barabarani yapo ndani.
Kuna jamaa nahisi aliona shauku yangu, akaniambia "zunguka zunguka uone nyumba ya rais wako ili uende ukasimulie na wenzio" nilizunguka kidogo tu ila maeneo mengi yalikua na makatazo kupita.(nyumba ilikua haijaisha ila ilikua inatisha aseee)
Nb; ninaposema rais, anaweza akawa wa tff, wa yanga au hata wa chuo.
😂😂Hiyo bajeti kwanza nimekasirika ghafla. Sema unaweza ukahisi ni kufuru lakini ni vile hatuna maisha wallah, umaskini mbaya sanaEnzi hizo nipo form six tumetoka shule jumamosi kufanya test tukaenda nyumbani kwa rafiki yetu huyo..
Dah..tumefika tu tunakuta maagizo kwa house girl wao eti mama yake ameacha laki 100,000... jamaa akachukue chakula cha paka da nilishtuka sana.. nikamwambia jamaa yaani paka wenu hawa wanabudget nzuri hivyo kuliko watanzania wengi sana kweli maisha hatufanani.... akacheka tu.
Paka wenyewe wawili 2 nikiwaangalia kama wa mitaani tu..wamejilaza kwenye makochi
Hiyo ni mwaka 2014..
Kifupi jamaa hata chuo akwenda hakusubili matokea akasepa zake state hadi leo yupo huko alisoma chuo hukohuko ameoa hukohuko kifupi maisha kwenu yakiwa kwenye hali nzuri kuna uwezekana mkubwa sana watoto pia wakaishi maisha mazuri tu hata wakikuwa.
Yule jamaa napiga nae story hadi leo namkumbusha wale paka anasema walikufa.yeye anawaita na majina kabisa.