Ulikuta kitu gani kwa Watu ukajua "hapa pesa ipo"?

Wachagga kwao Christmas migombani.....
Kuna familia kadhaa wanapaki private jet zao KIA....halafu haoo kimya kimya migombani.
Sasa humo migombani humo...ngumu kuelezea ukaeleweka kwa lugha ya kawaida.....
 
Nishaendaga na mwanangu mmoja kwao siku zile za free shule za boarding. Ukiachana na mjengo mkali ndani nilikuta kaunta kama ya bar aisee ina ma vinywaji ya ulaya utasema yale masebule ya kwenye muvi za kinaijeria. Iyo ilikua 2011 na ilikua mara yangu ya kwanza kuona kaunta ya bar ndani , mafanicha meupe peee!! Aisee kuna watu wanaishi.
 
Philips alikuwa muingereza anachuana na wajapan. Baada ya kuja Hitachi na Sony Bravia kusumbua mwishoni mwishoni kuanzia 2007 ndo mkorea akaingilia soko kwa Samsung na LG electronics. Baada ya mkorea ndio kaja mchina sasa kwa bei rahisi kupitia Singsung na Rising
 
Yaani jamaa wanakaa Petrol Stesheni-Sheli?
 
Baaaasi tushapajua si kule unapita njia bara bara ipo juu juu kidogo🤣🤣
 
😂😂Hiyo bajeti kwanza nimekasirika ghafla. Sema unaweza ukahisi ni kufuru lakini ni vile hatuna maisha wallah, umaskini mbaya sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…