Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Makande ni CHAKULA Cha wanyama walio shindikana marekani na ulaya nafaka ya makande mchanganyiko wa mahindi ,maharage,njugu mawe E.t.cMimi Kuna dogo alikuja kwetu, tukampa makande baada ya kula mtoto akaanza kulalamika ameshiba sana, hapumui vizuri...alivyokuja mama yake akapelekwa Agakhan just for check up....kumbe kwao hawakitambui kama chakula Cha binadamu 🤣🤣🤣
Takuja kupiga mtu humu ndani...Tukitoka kwenye mtindi tutahamia kwenye njugu mawe.
Huyo haelewi hata kidogo....Hiyo ni verse ya Nikki mbishi mkuu, Ngoja aje akuelekeze Poor Brain ..
Hakimiliki imezingatiwa hakuna kubadili sehemu yeyote ya wimbo ni kosa kisheria ..!!
Anacheka 😂😂😂🙌🙌🙌🤗[emoji23]
🙌🙌😂😂😂😂 Watu wanachukulia watu wengine poa ujue
Itamchukua muda kuelewa 😆😆Huyo haelewi hata kidogo....
Sio kwamba ana bahati mbaya....
Huyo hana bahati kabisa...
Sasa kama hamuelewi baba malcom atamuelewa vinaItamchukua muda kuelewa 😆😆
🤣🤣🤣🤣aloohFriji limejaa ma yogurt, masamaki, manyama...
Huyu mwamba yuko wapi aisee nmemiss sana tangawizi zakeBring back BILL LUGANO (KIDUKU LILO).
Aloooh weeeh 🙌🙌😂😂😂🤣🤣🤣🤣alooh
Mana vina ni kina Joh 70 😆Sasa kama hamuelewi baba malcom atamuelewa vina
Poor brain kabisaSema mi mtu anaekula mtindi namuona katili sana..
Wale watu wanaweza kujinyonga
Na wewe unatetea ishu ya mtindi nini mkuuPoor brain kabisa
Ingekuwa wamasai wanajinyonga sana mkuu
Hata raisi wa fm academiaNilikua naendesha gari ya mizigo nikapata kazi kupeleka mavyuma fulani hivi mbweni, sikwenda na mtu ila nilipewa namba ya simu nikaambiwa ukifika maeneo fulani piga simu kuna mtu atakufuata.
Mie huyoooo nilipofika eneo la tukio nikapiga simu full kufoka nimeshafika muda mrefu hapa, dk 0 ikaja V8 nyeusi tiiii. Ikaja kuni block kwa pembeni, jamaa akashusha kioo akasema nifuate.
Asee kila kona tunayokunja ni mijengo ya maana, mitaa mizuriii halafu pako kimyaaa, tukafika mpaka nje ya mjengo mmoja geti kuubwa, lile lango likafunguliwa kwa rimoti tukazama ndani.
Asee ile kuingia ndani nikawa nashangaa shangaa tu hata sielewi, lilikua bonge la jumba, swimming za maana halafu juu ya paa kuna parking ya helicopter, mataa ya barabarani yapo ndani.
Kuna jamaa nahisi aliona shauku yangu, akaniambia "zunguka zunguka uone nyumba ya rais wako ili uende ukasimulie na wenzio" nilizunguka kidogo tu ila maeneo mengi yalikua na makatazo kupita.(nyumba ilikua haijaisha ila ilikua inatisha aseee)
Nb; ninaposema rais, anaweza akawa wa tff, wa yanga au hata wa chuo.