Ni kweli kabisa yaani kabla ya kufika ndani kwa mara ya kwanza nilipewa tahadhari nisi watishe paka au kuwakimbiza mwenye hapendi..ππππNimecheka sana paka hataki kabisa mazoea na rangi nyeusi. Anakumbuka walichomfanya
π Hao paka nao wanatumia nafasi yao vzr, hawataki mazoea na blacks πMaisha hatufanani..kabisa nimekuja kuona tena kitu kama hicho kwa boss wangu mmoja mzungu nae anapaka wake nyumbani wanabudget kubwa kama laki 4 kwa mwezi isee mapaka manene hadi kutembea yanashindwa..
paka wananunuliwa hadi toy za kuchezea..
Jamaa akaniambia hawa paka waliokotwa kwenye jaa kwanza hawataki mazoea na rangi nyeusi kabisa wakiwaona wanaondoka na yule mzungu alivyo mweu anasema hataki wageni kwake wanawapa stress paka wake..
Nikacheka sana nikasema hao paka wanajua balaa la jua kali huko nje wamekubali kuwa machawa hapa maisha yaende..mzungu aamini hivyo anaamini wale paka wanapata msongo wa mawazo sababu sisi waafrica tuna watisha na kuwapiga ovyo bila sababu.
Mambo ya matajiri hayo, sisi home tulikua na paka ila hatukufikia hatua ya kuwapa majina.Eeh yaani acha kabisa..
Nawaza tu jinsi paka alivyo na mazarau na nyodonyodo akiona mweusi. Na huyo mzungu mwehu sana anasema tunampa stressπ€£π€£π€£Paka anawaona rangi nyeusi n mazumbukuku π walimuumiza nafsi na mwili
Acha kukandia chakula kitam sana hicho mkuu, hata leo nimekula ugali+samaki na glass ya mtindi mkuu!Sema mi mtu anaekula mtindi namuona katili sana..
Wale watu wanaweza kujinyonga
Uzi ufungwe..!!Sasa wewe ndio rafiki wa mimi damu damu kitendo cha kuelewa hapo na ukajibu inaosha ni jinsi gani upo bright kichwani kwako...
Na sitaki kukujadili maana itakua ni shirki
epuka matapeli mil 500 kwa watu wawili tu ni bill moja hiyo!..kwa familia ya mzee bakhresa hapo sawa
We vujisha tu walau watu waone madhari ya pale kwangu waamini kua siwezi kukukaribishaππππππ Huna ujanja huo..
Vishu kumbuka nina video zako zaidi ya 36 mkuu...
Usitake niseme ambayo yalikua siri hapa
Hiyo kawaida kabisa na ndio nimezoea hivyo sasa kukutana na paka wanaishi kama petty yaani urembo na wanagharamiwa juu nikashangaa sana.Mambo ya matajiri hayo, sisi home tulikua na paka ila hatukufikia hatua ya kuwapa majina.
Kazi yao ilikua ni kuweka usalama panya asitie maguu.
Msosi wake wa gharama ilikua ni maziwa fresh, mzee akiamka vizuri au akizaa anakua na oda yake ya maziwa.
Hiyo mbona kawaida wana JF wote wako hivyo kasoro mimiFriji limejaa ma yogurt, masamaki, manyama...
ππππππ Ulizingatia ? Ungewashtua kidogo kisirisiri washenzi haoNi kweli kabisa yaani kabla ya kufika ndani kwa mara ya kwanza nilipewa tahadhari nisi watishe paka au kuwakimbiza mwenye hapendi..
Unamkuta paka anakuangalia juu mpaka chini na anakusonya kabisa anaona umekuja kuleta giza ndani πNawaza tu jinsi paka alivyo na mazarau na nyodonyodo akiona mweusi. Na huyo mzungu mwehu sana anasema tunampa stressπ€£π€£π€£
Sisi mpaka bomba la mvua yaan hiyo early 90's tunachagua touoge maji moto au baridisio kweli. sisi wenyewe mzee alikua anaenda zambia hio 80s ilikua colgate na ndara zile subutu ukutwe nazo na serikal .gari alinunua Niva kwa rafiki yake mzungu alikua kigoma UN ndio yule mzungu alikua anaruf kwao akamuuzia friji.heater pressure cooker.even us we had those things
2014 laki sio pesa ndogo aiseeHiyo kawaida kabisa na ndio nimezoea hivyo sasa kukutana na paka wanaishi kama petty yaani urembo na wanagharamiwa juu nikashangaa sana.
ππππππππAcha kukandia chakula kitam sana hicho mkuu, hata leo nimekula ugali+samaki na glass ya mtindi mkuu!
Daaah dodoma moja hyo mkuu...Mkuu, muda huu niko kwenye shabiby nimetoka kufanya usaili ili niajiriwe hata kwa malipo ya 250k per month π
πππππππ Na sisi ndio washindi....Uzi ufungwe..!!