Ulikuta kitu gani kwa Watu ukajua "hapa pesa ipo"?

Ndio huku nini ?
 
Eeeh
 
Hawawezi kutoa kwako mkuu lakini kwa nchi hii daa acha tu
Hupewi kibali kwa ajili ya familia yako, haiwezekani mkuu. Ila kama una shughuli za kibiashara zinazohitaji ulazima wa kuwa na pump yako unapewa.

Halafu, tajiri gani atakubali huo usumbufu na gharama za kurun pump nyumbani kwake kwa ajili yake na mkewe na watoto? Maana ni gharama na usumbufu.
 
Dr am 4 real PhD
Dactar hivi kuna faida ya kunywa maziwa mtindi... Kwa faida ya wote tupe na madhara yake kabisa (sorry nje ya mada)

Kuna mtu hapa anapenda mambo ya jabu ajabu
Namaanisha wewe ERoni
Yana faida kadha wa kadha mkuu ILA YAWE MAZIWA HALISI YA MTINDI NATURAL I.e NG'OMBE

Sio artificial MTINDI kwa uchache nimeelezea 🙂😊
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…