Moto wa volcano
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 1,148
- 2,815
Haahaa mkuu umepiga na nyundo ya andiko 😀Wife material utamkutabombani su kisimani,refer bible rebecca sijui
Mara moja moja umbea una faida kwa afya ya akiliHuu nao ni umbea
MAiaha yenu yakoje kwa sasa isije kuwa ni kUuguzanaTulikutana hospital nilikuwa naumwa halafu yeye ni dr basi akanibembeleza mgonjwa wake 🥰🥰🥰🥰
Naona alienda nje ya maadili ya kazi , alikuchoma sindano nini akatamani wowooTulikutana hospital nilikuwa naumwa halafu yeye ni dr basi akanibembeleza mgonjwa wake 🥰🥰🥰🥰
😅Umenikumbusha ka kituTulikutana hospital nilikuwa naumwa halafu yeye ni dr basi akanibembeleza mgonjwa wake 🥰🥰🥰🥰
😂😂😂 kitu gani tena bro?😅Umenikumbusha ka kitu
Hapa utaoa wake za watu shauri zako 😹😹😹Nilikutana nae harusi ya classmate wangu ila kwa kuangalia trend hapa hamna mke ni kudate tu
Usimkatie tamaa mpe darasa la maisha halafu mpe mudaNilikutana nae harusi ya classmate wangu ila kwa kuangalia trend hapa hamna mke ni kudate tu
Alinichoma sindano kubwa tramu halafu haiumizi awwww 🥰🥰🥰💦💦Naona alienda nje ya maadili ya kazi , alikuchoma sindano nini akatamani wowoo
Anaendelea kunitibia, sindano nachomwa kutwa mara tatu 🫦💦💦MAiaha yenu yakoje kwa sasa isije kuwa ni kUuguzana
eehh ! Aisee mwenzangu alibahatika siku nyengine uje kwenye dispensari yangu na mimi ni DrAlinichoma sindano kubwa tramu halafu haiumizi awwww 🥰🥰🥰💦💦
Sina mpango wa kuoa mzeeeUsimkatie tamaa mpe darasa la maisha halafu mpe muda