Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JF sio sehemu ya kutafuta me / ke kila issue yako itaanikwa hukuTuelezee sisi tuliokutana na wenza wetu jf, mazingira yanaashiria kitu gani?
Naingiza baby pokea tamuuuuu yakooo hiyooooIngiza yoootreeee 🍆
Alifanyiwa diversion, akapimwa HIV bila kujua, baada ya kuona yuko clean. Akalala siku hiyo.Ukalisasambua ukalila mpk mifupa 😂😂😂
Kumbe una daktare na husemiTulikutana hospital nilikuwa naumwa halafu yeye ni dr basi akanibembeleza mgonjwa wake 🥰🥰🥰🥰
Kwa nini ianikwe mkuu? Yaani nioe mke anianike? Anaanzaje...JF sio sehemu ya kutafuta me / ke kila issue yako itaanikwa huku
Mkuu itakuwa siku shemeji alitoka na kanga moko kuchota maji ukaingia lineTulikutana nyumba za kupanga
Hzo hata ukioa hua zipo tuBado yale masuria ya dk 1 km jogoo 😹😹
Show show unakaza nati mpaka prize inakatika.Kwa nini ianikwe mkuu? Yaani nioe mke anianike? Anaanzaje...
Amka utajikojolea 😹😹😹Naingiza baby pokea tamuuuuu yakooo hiyoooo
mwamba una mbinu za kivita.. saluteNlikutana nae kwenye Bus akawa anasumbua kinoma kila sehem anauliza hapa ni wapi mi nikaona ananizingua sasa ili nisimjibu nikaamua nijidai nimelala sasa akaanza kuniuliza maswali bila kujua mi nimefunga macho na nimejidai nimelala kaongea kama dakika 5 akageuka kuniangalia akanicheki kama sekunde 10 ananishangaa nimelala sangapi nikajikuta nimecheka ndo hapo tukaanza kucheka hadi ikawa hivyo
🤣🤣hapana sema yale mazoea ya ujirani mwema hadi imekuwa kweli na hadi tukafunga ndoaMkuu itakuwa siku shemeji alitoka na kanga moko kuchota maji ukaingia line
4yrs na huna mpango wa kumuoa...ukilogwa usisumbue waganga 🤣Moja tulidate miaka 6, za wapendanao zikatimia......wa saiv tuna 4yrs
Safi sana mkuu ulifanya vizuri kujiongeza🤣🤣hapana sema yale mazoea ya ujirani mwema hadi imekuwa kweli na hadi tukafunga ndoa
Kumbe ndio zenu kutupiga kipapai4yrs na huna mpango wa kumuoa...ukilogwa usisumbue waganga 🤣
Na ulifanya kusudi sababu ushamuelewa 😹😹😹Alifanyiwa diversion, akapimwa HIV bila kujua, baada ya kuona yuko clean. Akalala siku hiyo.
Haiwezekani kwa tabia hii ya huyo daktari kama waziri mwenye dhamana lazima niingilie Kati. Anampiga denda mgonjwa ... this is ridiculousNa ulifanya kusudi sababu ushamuelewa 😹😹😹
Mimi bana aliniambia nyie madent hamjatulia njoo nikupime, na mimi najijua mtulivu nikampa mkono toa damu dr nipime.!!
Ila hapo kiroho kiko juu juu, nikamwambia naomba niende toilet mara moja akapiga simu maabara nikaletewa kopo likashushwa shuka la kijani nikojoe 😂😂😂
Ile siku mpk ujauzito nilipimwa dadeq.!!
Nikajipigisha simu ya uongo nikajifanya network haishiki ili nikimbie si akanipa simu yake.!! 😹😹
Nilitamani nimtukane alinikwaza sana mwenzie nilikuwa na beep
Majibu yalivyotoka niko fresh niliruka kwa furaha naye si akanihug akanila mate 🤦♀️
Basi matibabu mengine yakaendelea mpk leo
We miaka minne yote unakuja kumwambia sikuhitaji...we kuwezaKumbe ndio zenu kutupiga kipapai
Kisha tusome koments sieee!