Ulikutana vipi na mwenza wako? Je, mazingira yanafungamana na tabia ya mtu?

Ulikutana vipi na mwenza wako? Je, mazingira yanafungamana na tabia ya mtu?

Nlikutana nae kwenye Bus akawa anasumbua kinoma kila sehem anauliza hapa ni wapi mi nikaona ananizingua sasa ili nisimjibu nikaamua nijidai nimelala sasa akaanza kuniuliza maswali bila kujua mi nimefunga macho na nimejidai nimelala kaongea kama dakika 5 akageuka kuniangalia akanicheki kama sekunde 10 ananishangaa nimelala sangapi nikajikuta nimecheka ndo hapo tukaanza kucheka hadi ikawa hivyo
 
Nlikutana nae kwenye Bus akawa anasumbua kinoma kila sehem anauliza hapa ni wapi mi nikaona ananizingua sasa ili nisimjibu nikaamua nijidai nimelala sasa akaanza kuniuliza maswali bila kujua mi nimefunga macho na nimejidai nimelala kaongea kama dakika 5 akageuka kuniangalia akanicheki kama sekunde 10 ananishangaa nimelala sangapi nikajikuta nimecheka ndo hapo tukaanza kucheka hadi ikawa hivyo
mwamba una mbinu za kivita.. salute
 
Alifanyiwa diversion, akapimwa HIV bila kujua, baada ya kuona yuko clean. Akalala siku hiyo.
Na ulifanya kusudi sababu ushamuelewa 😹😹😹

Mimi bana aliniambia nyie madent hamjatulia njoo nikupime HIV, na mimi najijua mtulivu nikampa mkono toa damu dr nipime.!!
Ila hapo kiroho kiko juu juu, nikamwambia naomba niende toilet mara moja akapiga simu maabara nikaletewa kopo likashushwa shuka la kijani nikojoe 😂😂😂

Ile siku mpk ujauzito nilipimwa dadeq.!!
Nikajipigisha simu ya uongo nikajifanya network haishiki ili nikimbie si akanipa simu yake.!! 😹😹
Nilitamani nimtukane alinikwaza sana mwenzie nilikuwa na beep wala sikumaanisha.!!
Majibu yalivyotoka niko fresh niliruka kwa furaha naye si akanihug akanila mate 🤦‍♀️
Basi matibabu mengine yakaendelea mpk leo
 
Na ulifanya kusudi sababu ushamuelewa 😹😹😹

Mimi bana aliniambia nyie madent hamjatulia njoo nikupime, na mimi najijua mtulivu nikampa mkono toa damu dr nipime.!!
Ila hapo kiroho kiko juu juu, nikamwambia naomba niende toilet mara moja akapiga simu maabara nikaletewa kopo likashushwa shuka la kijani nikojoe 😂😂😂

Ile siku mpk ujauzito nilipimwa dadeq.!!
Nikajipigisha simu ya uongo nikajifanya network haishiki ili nikimbie si akanipa simu yake.!! 😹😹
Nilitamani nimtukane alinikwaza sana mwenzie nilikuwa na beep
Majibu yalivyotoka niko fresh niliruka kwa furaha naye si akanihug akanila mate 🤦‍♀️
Basi matibabu mengine yakaendelea mpk leo
Haiwezekani kwa tabia hii ya huyo daktari kama waziri mwenye dhamana lazima niingilie Kati. Anampiga denda mgonjwa ... this is ridiculous
 
Back
Top Bottom