Moto wa volcano
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 1,148
- 2,815
- Thread starter
- #81
Tupo , utasahau ulipotokaooh Kumbe bado mpo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupo , utasahau ulipotokaooh Kumbe bado mpo
😹😹😹 mxiewwwwDawa yenu ni kupimwa oil tu pale pazia la green🏃🏃
OMG 🙆🏾,, pole jamani mamiiiNilikutana chuo na mme wng,alionesha kunipenda na kunijali sana,tukaanza kuishi akiwa maskini sana tukawa tunaungaunga maisha,Mungu akasaidia tuna vihela vya mboga,hamna rangi naacha kuona jamani,nna kila kitu ndani ila nna majuto sana,kanifanya nijione sina thamani,moyo wangu una maumivu na majeraha saaaana,nna uchungu Moyoni ilikhali yeye haoneshi kujali hata kidooogo,kanenepa ananioneshea mifano ya wanaume wengine wanaochepuka na wake zao hawalalamiki,anajiona yuko sahihi,ama hakika binadam wanabadilika!!!
Hilo ni kaa la moto liogopeUnakutana na manzi club amewaka hlf badae unasema unataka uoe 🤔🤔🤔
Tulikutana hospital nilikuwa naumwa halafu yeye ni dr basi akanibembeleza mgonjwa wake 🥰🥰🥰🥰
Wooooiiii sawa sawaTupo , utasahau ulipotoka
Eeeh ndio 😹😹😹Moyo wako ukafia kwa mganga
Kwani uongo?😹😹😹 mxiewwww
Njoo PM tuyajengeNikimpata nitawasimulia
Nije PM ?Wooooiiii sawa sawa
Hahaha mganga imekaa local sema dr ndio ina soundMoyo wako ukafia kwa mganga
Ni nzuri... iandikie uzi mkuuMi nlimuona tu nikasema moyoni huyu ndo mke wangu lazima nimwoe and tukapotezana hata salam hatukusalimiana nikaja kutafuta namba yake, nlikuwa domo zege nikamwambia direct nakupenda akanitoa balu, nikakomaaa baadae akatiki sms niloandikiwa sitaisahau hadi nakufa, nanukuu " unashtskiwa kwa kuuteka moyo wangu hadi nakuwa nakuwaza wewe tu kila mda" siku hiyo hata chakula hakikulika, tuliongea hadi asubuhi maana ilikuwa ile tigo unaongea dakika 1 ya kwanza zingine zote bure,date ya na mimba juu, tukaachana alivojifungua nikaanza kuishi naye
Eeeh si mtanyonya sasa 😹😹😹Kwani uongo?
Na boobs tunabinya kupima cancer 😁
Humu wifi ni kunata na beat, ukija uzi wa single tumo. 😹😹😹Nikimpata nitawasimulia
Pole sanaNilikutana chuo na mme wng,alionesha kunipenda na kunijali sana,tukaanza kuishi akiwa maskini sana tukawa tunaungaunga maisha,Mungu akasaidia tuna vihela vya mboga,hamna rangi naacha kuona jamani,nna kila kitu ndani ila nna majuto sana,kanifanya nijione sina thamani,moyo wangu una maumivu na majeraha saaaana,nna uchungu Moyoni ilikhali yeye haoneshi kujali hata kidooogo,kanenepa ananioneshea mifano ya wanaume wengine wanaochepuka na wake zao hawalalamiki,anajiona yuko sahihi,ama hakika binadam wanabadilika!!!
MhPole sana
Ndo wanaume tulivyo tunaona sisi kuchepuka ni sawa ila kwenu sio sawa
Nimetoka kupiga stori na pastor mmoja hapa kaniambia kitu hicho hicho pamoja na upastor wake
Upuuzi tu
Unipekee moto wa volcano au sio😂😂😂Njoo PM tuyajenge
Aisee watu mnajua namna ya kuunga manenoUnipekee moto wa volcano au sio😂😂😂
😂😂😂Utani tu mkuuAisee watu mnajua namna ya kuunga maneno