Ulikutana vipi na mwenza wako? Je, mazingira yanafungamana na tabia ya mtu?

Ulikutana vipi na mwenza wako? Je, mazingira yanafungamana na tabia ya mtu?

Nilikutana chuo na mme wng,alionesha kunipenda na kunijali sana,tukaanza kuishi akiwa maskini sana tukawa tunaungaunga maisha,Mungu akasaidia tuna vihela vya mboga,hamna rangi naacha kuona jamani,nna kila kitu ndani ila nna majuto sana,kanifanya nijione sina thamani,moyo wangu una maumivu na majeraha saaaana,nna uchungu Moyoni ilikhali yeye haoneshi kujali hata kidooogo,kanenepa ananioneshea mifano ya wanaume wengine wanaochepuka na wake zao hawalalamiki,anajiona yuko sahihi,ama hakika binadam wanabadilika!!!
OMG 🙆🏾,, pole jamani mamiii
 
Mi nlimuona tu nikasema moyoni huyu ndo mke wangu lazima nimwoe and tukapotezana hata salam hatukusalimiana nikaja kutafuta namba yake, nlikuwa domo zege nikamwambia direct nakupenda akanitoa balu, nikakomaaa baadae akatiki sms niloandikiwa sitaisahau hadi nakufa, nanukuu " unashtskiwa kwa kuuteka moyo wangu hadi nakuwa nakuwaza wewe tu kila mda" siku hiyo hata chakula hakikulika, tuliongea hadi asubuhi maana ilikuwa ile tigo unaongea dakika 1 ya kwanza zingine zote bure,date ya na mimba juu, tukaachana alivojifungua nikaanza kuishi naye
Ni nzuri... iandikie uzi mkuu
 
Nilikutana chuo na mme wng,alionesha kunipenda na kunijali sana,tukaanza kuishi akiwa maskini sana tukawa tunaungaunga maisha,Mungu akasaidia tuna vihela vya mboga,hamna rangi naacha kuona jamani,nna kila kitu ndani ila nna majuto sana,kanifanya nijione sina thamani,moyo wangu una maumivu na majeraha saaaana,nna uchungu Moyoni ilikhali yeye haoneshi kujali hata kidooogo,kanenepa ananioneshea mifano ya wanaume wengine wanaochepuka na wake zao hawalalamiki,anajiona yuko sahihi,ama hakika binadam wanabadilika!!!
Pole sana

Ndo wanaume tulivyo tunaona sisi kuchepuka ni sawa ila kwenu sio sawa

Nimetoka kupiga stori na pastor mmoja hapa kaniambia kitu hicho hicho pamoja na upastor wake

Upuuzi tu
 
Back
Top Bottom