Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
Walaa ningempea ningepata kisukari na presha ya kupanda😂😂😂Wifi ulikuwa sitaki nataka muonee 😹😹😹
Mwishoe ukampea 😜
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walaa ningempea ningepata kisukari na presha ya kupanda😂😂😂Wifi ulikuwa sitaki nataka muonee 😹😹😹
Mwishoe ukampea 😜
AsantePole.
Wifi umechana page nimeshtuka 😹😹😹Walaa ningempea ningepata kisukari na presha ya kupanda😂😂😂
Hapo nimekusoma .... Pamoja sanaHaikua mbinu bro nilikua na stress sana hiyo siku sikua kwenye mood ya kupiga stori ila ikatokea hivyo
Ile issue ilikaa sawa.Asante
Sijampea kweli nilikumbuka tu hiyo ctory ulivozungumzia daktariWifi umechana page nimeshtuka 😹😹😹
Wewe sema km ulimpea sikuthemii kwa kaka
Nimekufuatilia umekuja kunitangaza huku😭😭😭😭baada ya kuninyima hiyo nyama ya kati yenye mashavu mabaya.Walaa ningempea ningepata kisukari na presha ya kupanda😂😂😂
Bado aisee mwendo mpelampela ni dawa tuIle issue ilikaa sawa.
🤣🤣🤣Mashavu mabaya🤣🤣🤣Nimekufuatilia umekuja kunitangaza huku😭😭😭😭baada ya kuninyima hiyo nyama ya kati yenye mashavu mabaya.
Umenipiga chenga ya mwili 😹😹😹Sijampea kweli nilikumbuka tu hiyo ctory ulivozungumzia daktari
Ukaona kabisa useme nilikuwa nakudekerea kwa kuiba-iba?🤣🤣🤣Mashavu mabaya🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣My Wii unapenda kudanganywa 🤣🤣Umenipiga chenga ya mwili 😹😹😹
Duuh..Bado aisee mwendo mpelampela ni dawa tu
Eeh napambana tuDuuh..
Imebidi niangalie lini ulijiunga, kumbe wewe ni mkongwe kabisa.Nilikutana chuo na mme wng,alionesha kunipenda na kunijali sana,tukaanza kuishi akiwa maskini sana tukawa tunaungaunga maisha,Mungu akasaidia tuna vihela vya mboga,hamna rangi naacha kuona jamani,nna kila kitu ndani ila nna majuto sana,kanifanya nijione sina thamani,moyo wangu una maumivu na majeraha saaaana,nna uchungu Moyoni ilikhali yeye haoneshi kujali hata kidooogo,kanenepa ananioneshea mifano ya wanaume wengine wanaochepuka na wake zao hawalalamiki,anajiona yuko sahihi,ama hakika binadam wanabadilika!!!
Umefanya kama mm nilivyoona 2013 nikajua yupo seriousImebidi niangalie lini ulijiunga, kumbe wewe ni mkongwe kabisa.
Zipo solutions nyingi tu, ni wewe kuangalia options zipi zitakupa unachohitaji kwa sasa.
Nikiolewa na daktari mniite mbwa🤣🤣🤣🤣nimewaza tu yaanNa ulifanya kusudi sababu ushamuelewa 😹😹😹
Mimi bana aliniambia nyie madent hamjatulia njoo nikupime HIV, na mimi najijua mtulivu nikampa mkono toa damu dr nipime.!!
Ila hapo kiroho kiko juu juu, nikamwambia naomba niende toilet mara moja akapiga simu maabara nikaletewa kopo likashushwa shuka la kijani nikojoe 😂😂😂
Ile siku mpk ujauzito nilipimwa dadeq.!!
Nikajipigisha simu ya uongo nikajifanya network haishiki ili nikimbie si akanipa simu yake.!! 😹😹
Nilitamani nimtukane alinikwaza sana mwenzie nilikuwa na beep wala sikumaanisha.!!
Majibu yalivyotoka niko fresh niliruka kwa furaha naye si akanihug akanila mate 🤦♀️
Basi matibabu mengine yakaendelea mpk leo
Kuna dawa nyingine nijaribu 😀😀Duuh..
Wana nini?? Mbona wangu yuko pouwa bonge la bwana 🥰🥰🥰Nikiolewa na daktari mniite mbwa🤣🤣🤣🤣nimewaza tu yaan
😀😀Wana nini?? Mbona wangu yuko pouwa bonge la bwana 🥰🥰🥰