Ulikutana vipi na mwenza wako? Je, mazingira yanafungamana na tabia ya mtu?

Ulikutana vipi na mwenza wako? Je, mazingira yanafungamana na tabia ya mtu?

Alafu madaktaree bhana sema wengi zipu nothing 😂😂😂
Kuna mkaka alikuja kututrain chuon kwetu masuala ya afya ya uzazi kipind miak hiyo
Nilikaa mbele na juba langu refu sikupak hata poda Wala lipstic nimepauka 😂😂

Baada ya masomo ukawa muda wa discussion akawa anasimamia kundi letu
Full kuniangalia Kwa kuibia yule daktari ni handsome balaa akiongea Sasa uwiii 😂😂
Hayo madude yako romantic sana halafu lina sauti flani la Jaivah 🫦💦💦

Kwahiyo wii ukapita naye? 😹😹😹
 
😂😂😂Nimecheka had nimepaliwa
Kuna siku nilisemaga nna mapacha halafu nikasahau sasa si kuna member akaja kunikumbusha nikabaki nashangaa.!! 😹😹😹
Akasema mbona ulichangia na hongera nikakupa na mimi baba wawili km ulivyo wewe mama wawili 🤣🤣
 
😂😂Ngoja nilie kwanza Wii
Nikajifanya mapozi mengi mara aibu mara simtaki alikuwa ananitafuta lkn bhana Yan tulikuwa hatuendani likaka lile mwee 🤣🤣
Wifi ulikuwa sitaki nataka muonee 😹😹😹
Mwishoe ukampea 😜
 
Back
Top Bottom