Waugwadu
JF-Expert Member
- May 28, 2019
- 484
- 854
Daah kaka uchumba miaka 6? mi4? 😀🙌Nan alikwambia ndoa ni Caanan?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah kaka uchumba miaka 6? mi4? 😀🙌Nan alikwambia ndoa ni Caanan?
Eeh napambana tu
NitakuchekKuna dawa nyingine nijaribu 😀😀
Naona hiz zimedunda
Jumla kumi wa kwanza nlimdate miaka 6 wa pili miaka 4 jumla 10. Mzee Kuna shidoo?Daah kaka uchumba miaka 6? mi4? 😀🙌
Daah noma sana, sema nini endelea kuwachubua tu mzee.Jumla kumi wa kwanza nlimdate miaka 6 wa pili miaka 4 jumla 10. Mzee Kuna shidoo?
LabellaNa ulifanya kusudi sababu ushamuelewa 😹😹😹
Mimi bana aliniambia nyie madent hamjatulia njoo nikupime HIV, na mimi najijua mtulivu nikampa mkono toa damu dr nipime.!!
Ila hapo kiroho kiko juu juu, nikamwambia naomba niende toilet mara moja akapiga simu maabara nikaletewa kopo likashushwa shuka la kijani nikojoe 😂😂😂
Ile siku mpk ujauzito nilipimwa dadeq.!!
Nikajipigisha simu ya uongo nikajifanya network haishiki ili nikimbie si akanipa simu yake.!! 😹😹
Nilitamani nimtukane alinikwaza sana mwenzie nilikuwa na beep wala sikumaanisha.!!
Majibu yalivyotoka niko fresh niliruka kwa furaha naye si akanihug akanila mate 🤦♀️
Basi matibabu mengine yakaendelea mpk leo
Nyie ma gyne(me) ni nyoko sana kwenye hizo mambo.Nikiwa gynecologist, daah😅 yule dada alikuwa na k nzuri sana.
Nipo nipo, busy na kazi
Sina hamu na daktari bingwa wa wanawake yule baba sio Kwa kunikagua kule looh🤣🤣Nyie ma gyne(me) ni nyoko sana kwenye hizo mambo.
Nadhani katika specialities ,zote mnaongoza.
Sema kuna wanawake wengine huwa wanajilengesha wenyewe.
😁😁😁Daah noma sana, sema nini endelea kuwachubua tu mzee.
Pokea simu basi.....Npo Kenya Naaandamana
Alikuwa anahakiki mali iko safi😅Sina hamu na daktari bingwa wa wanawake yule baba sio Kwa kunikagua kule looh🤣🤣
Sasa mkuu, mdada classic anakutanulia miguu mbele yako umkague. Huna shida yoyote kiafya, jamaa anawika vizuri tu.Nyie ma gyne(me) ni nyoko sana kwenye hizo mambo.
Nadhani katika specialities ,zote mnaongoza.
Sema kuna wanawake wengine huwa wanajilengesha wenyewe.
Kwamba mbuzi 🐐 kafia kwa muuza Soup 🍲... Ngoswe & Mazoea...MTOTO WA MWENYEKITI WA MTAA 😀
Ni pisi kali ila tatizo inajikuta tomboy fulani hivi mtaani, na akija geto anabadilika anakuwa soft balaa.
Picha linaanza, Mwaka 2022 nilipata mchongo wa kuwa Karani Mwandamizi sasa kwenye utambulisho nikafika kwa mwenyekiti, Mzee Iman 😀 Sheikh fulani hivi aliyepewa bahati ya kuzaa wadada sita pekee katika uzao wake katika ndoa zake mbili. AISHA AISHA nimekuita mara mbili, huyu mazni ni chuma ila sina uhakika kama kuna ndoa maana kuna wakati ananipa pigo za ovyo sana! Siku moja aliniambia kuwa nikiona tamaa zimenizidi sana basi nioe wake hata wawili wamsaidie kazi! ELEWA NENO KAZI 😀
TO CUT STORY SHORT:
Wakati wa utambulisho niliomba nichaji kishikwambi wakati tunaendelea kupewa mabalozi wakuzunguka nao mtaani, tulipomaliza nikakiomba kishikwambi changu nikaanze kazi ila ndani nikakuta kipande cha karatasi kina namba za simu na jina AISHA! Nikajua Mbuzi imefia kwa muuza supu.
Ni wife Material ila pigo zake za kiimani ndo moto!
Kuna siku Mzee alinikuta nimesimama na Binti yake! Basi akacheka sana! Ila hapo kwenye wake zaidi ya mmoja ndo kipengele ambacho sikiwezi!Kwamba mbuzi 🐐 kafia kwa muuza Soup 🍲... Ngoswe & Mazoea...
Simpigi chini ila natafuta vitu vya kuanza kunipa furaha yeye akiwa bize michepukoniAisee dada pole sana , ukiona bado haeleweki piga chini tafuta mwamba mwengine anayejielewa
Simuachi ataniacha yeye ........nimeamua kujipa furaha yeye sihangaiki naeSi uliache umeambiwa ukifa utazikwa naye??
Watu mio na koo za kiroho mna matatizo sana.Tupeane uzoefu , ulikutana wapi na mwenza wako kwa mara ya kwanza, inasemekana mazingira unayokutana na mtu huwa yanatoa mustakabali wa penzi lenu na yanaeleza tabia ya mtu, kama ni mtaani, uswazi au ushuwani, Bar au kwenye nyumba ya ibada n.k.
Je, ni kweli mazingira huwa yanafungamana na tabia ya mtu?
Sasa unalalamika nini si umuache achepuke na watoto wazuri atarudi akiukwaa 😹😹😹Simuachi ataniacha yeye ........nimeamua kujipa furaha yeye sihangaiki nae
Wachaaa wee!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tulikutana hospital nilikuwa naumwa halafu yeye ni dr basi akanibembeleza mgonjwa wake [emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059]