Ulikuwa Bingwa wa Michezo ipi Utotoni?

Ulikuwa Bingwa wa Michezo ipi Utotoni?

Mtoa Taarifa

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2024
Posts
213
Reaction score
671
Ifahamu michezo asilia ya watoto inayotambulika katika Lugha adhimu ya Kiswahili

1) Kombolela
2) Mdako/nakwa
3) Rede
4) Nage
5) Tobo
6) Saga koboa
7) Ukuti ukuti
8) Kinyulinyuli
9) Visoda
10) Kula mbakishie baba

Itaendelea...

1729774914370.png
1729774924149.png

 
Back
Top Bottom