Ulikuwa Bingwa wa Michezo ipi Utotoni?

Ulikuwa Bingwa wa Michezo ipi Utotoni?

Nilikuwa mkali wa kupiga denda, siku moja nilimpiga denda mdada wa watu akaishiwa na mate mdomoni mpaka akapelekwa hospital, yaani mpaka Leo nilimpiga denda mtu simwachi salama coz nina ulimi mrefu utadhani kinyonga.
 
Golori, mabetri, kuchora,kuogelea,sambi/doso,mbio,kuwinda na mbwa na Kwa manati na kibaba na mama unakuwa baba ama mtoto....Kombolela ilinichosha siku nilikuwa nazinda Mimi wakabaki wawili kumbe wameenda kwao ..tafuta tafuta na wewe aaaah..... Nikawaacha ..sikucheza tena ..nimekumbuka na ule wa kinyuliiinyulikaaa
Mkongwe upo?
 
Nilikuwa mkali wa kuchonga uume bandia na hiki kipaji kilinisaidia pia kuwa mkali wa Kulimega tunda la katikati kwani sikuhitaji kutongoza bali kuudondosha chini ule uume bandia kanakwamba umeniponyoka ninapokuta na msichana.
Ama kweli ukutumia kipaji chako huwezi kufa kwa njaa
 
adi sasa nacheza pale nikikutana na wale tulio cheza udogoni yan ni kama muunganiko flani usiofutika kwenye mioyo yetu wengine tupo mikoa tofaut but sometime mtu anaez kukwambia ntafunga safari nije kukusallimia pia tutapita sehem tujikumbushie vitu vyetu😁
aisee ungekuwa Dodoma tungekuwa tunacheza Ps mkuu mimi ndo starehe yangu hyo nikitoka Job tu ni mimi na Ps nmejifungia ndani basi.
 
Rede
Mdodo
Bao ( ni mchezo ambao vinachorwa vyumba chini, kwa upana 2, na urefu 5, maana mnacheza kwa kutumia kigae, mnacheza kwa kupishana, ukikosa, anaingia mwingne,
Sasa, mimi huu mchezo, nikiingia kucheza kutoka hapo nimeshafunga magori (vyumba vyote vinakua X.
 
Back
Top Bottom