min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Upo vizuri Mrs nyuzi za kimasihara š¤£Heshima yangu npe bwan š
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo vizuri Mrs nyuzi za kimasihara š¤£Heshima yangu npe bwan š
Bingwa umetisha sanašMichezo ya vurugu tuš,,,kuwavuruga watu na kukimbia. Nilikuwa nachomoka zaidi ya husain bolt
Yes,,hazichoshi ubongo š¤£Upo vizuri Mrs nyuzi za kimasihara š¤£
Na ulivyo mrefuš¤£Yes,,hazichoshi ubongo š¤£
š¤£š¤£š¤£š Na kula nauli tulijifunzia wapi?michezo inayowafundisha mabinti kuruka wanaume
na ile yesta yesta ya kurusha kibeto
Kula nauli mlijifunzia kwenye ile michezo ya kukojoa kwenye vikopo ili msonge ugali wa udongo š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£š Na kula nauli tulijifunzia wapi?
Daaah! Ulikosa uhondo sana.Nilikuwa naangalia katuni tu na kuwa wa kwanza darasani basi.
Najuta sana, sijui ni malezi ya geti kali, sijui ni mimi, nakosa wa kulaumu.
Utoto wangu ulikuwa mgumu, uonevu(bullying) ulinisumbua.
Thubutuuuuš¤£š¤£š¤£Aaa wee shindikana, kipindi hicho kitaa kizima watoto wenzangu walikua wananiogopa ,hata akija mgeni lazima aletwe kwangu nimfue kwanza kulinda ufalme wanguš¤£
Maisha ya kujifungia getini ya kijinga sana mpaka leo yamenifanya niwe mtu wa kushinda jfNilikuwa naangalia katuni tu na kuwa wa kwanza darasani basi.
Najuta sana, sijui ni malezi ya geti kali, sijui ni mimi, nakosa wa kulaumu.
Utoto wangu ulikuwa mgumu, uonevu(bullying) ulinisumbua.
Kijana wa hovyoš¤£š¤£š¤£Nilikua napenda sana kuwa mtazamaji wa mpira wa redeš¤£
Hivi shindikana unanichukuliaje mfanoš¤Thubutuuuuš¤£š¤£š¤£
Daaah! Zilikuwa siku njema sana hiziš¤£ššKula nauli mlijifunzia kwenye ile michezo ya kukojoa kwenye vikopo ili msonge ugali wa udongo š¤£š¤£
Ulikuwa busy na kibaba baba na kimama mama tu.Hivi shindikana unanichukuliaje mfanoš¤
HAWAKUKUPIDIDI MKUU? UNAONEKANA NALENALE SIO MKAZAJI KABSA! JE UBNGWA ULFANIKIWA KUULINDA?Nilikuwa naangalia katuni tu na kuwa wa kwanza darasani basi.
Najuta sana, sijui ni malezi ya geti kali, sijui ni mimi, nakosa wa kulaumu.
Utoto wangu ulikuwa mgumu, uonevu(bullying) ulinisumbua.
Yani, kuna dada aliitwa pendoo sita kaa nimsahau , nilifumwa nae mama alinipiga mpaka nikaingia uvunguniš¤£Ulikuwa busy na kibaba baba na kimama mama tu.
Si unaona!! Nilijua tu ni hizi sarakasi.Yani, kuna dada aliitwa pendoo sita kaa nimsahau , nilifumwa nae mama alinipiga mpaka nikaingia uvunguniš¤£