Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Migombani kazi ya kusomba majani mda wa kuangalia TV utautoa wapiMtoto wa buku mbili mnashinda tu kwa tv🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Migombani kazi ya kusomba majani mda wa kuangalia TV utautoa wapiMtoto wa buku mbili mnashinda tu kwa tv🤣
Duuh1. Rede kumanyua juu kwa juu eeeeh hewani
2. Tennis
3. Mbio za miguu 100m, 200m
4. Goroli
5. Uke wa Baba na Mama
6. Hide and seek
7. Swimming
8. Netball
9. Basketball
10. Football
11. Ngoma kukatika kiuno
12. Squash
Naishia hapo Nilikuwa kila jambo sipitwi..
Nili Unga juhudi za Rais aliyekuwa madarakani 🤣🤣🤣
KombolelaIfahamu michezo asilia ya watoto inayotambulika katika Lugha adhimu ya Kiswahili
1) Kombolela
2) Mdako/nakwa
3) Rede
4) Nage
5) Tobo
6) Saga koboa
7) Ukuti ukuti
8) Kinyulinyuli
9) Visoda
10) Kula mbakishie baba
Itaendelea...
Mkuu ni sahihi na kuna namna tulijuana kila moja na wake wa kumtaftaHakuna siri hapo zaidi ya kuunganisha vikojoleo🤣
Sema yale maisha unyama ila sio rafiki Kwa mabinti 😂wanakua na vigimbiKupambana na majani na samadi na kufukuzana na mbwa kuwinda maparachichi Makiwendo 🤣🤣🤣
🤣🤣 ndio kigezo changu kwa mwanamke nitakae muoa kwa sasa awe na kigimbi 🤣 mimi nafuga na kulima sitaki mwanamke wa chips mayai na pilipili kwa mbali🤣Sema yale maisha unyama ila sio rafiki Kwa mabinti 😂wanakua na vigimbi
Umenikumbusha mbali mama alikua akibandika maharage ya kiburu tunatokomea nyumbani🤣🤣🤣Na kuracha Manduu na Vizee😅😅😅😅
KOBOMOANA CHULULU.Kombolela hasa nyakati za usiku maana huko tulikuwa tunachaguliana me na ke
Unafaham nini? Kilichokuwa kinatokea ni siri yetu
We m hadi gari za waya nmetengeneza😂nmepoteza yebo kisa kuwekwa golini,soksi za shule nmepoteza,mipira ya kutengenezwa kwa karatasi aseeee 🤣Mtoto wa buku mbili mnashinda tu kwa tv🤣
Tena wakubwa wanajificha sehem moja mda mrefu,wakimaliza wanatoka kubutua mpira au kopo eti kombolelaaaaaaa mxiuuuu zao😆😆Kombolela hasa nyakati za usiku maana huko tulikuwa tunachaguliana me na ke
Unafaham nini? Kilichokuwa kinatokea ni siri yetu
Mi na ufugaji byee byeeeee🤣🤣 ndio kigezo changu kwa mwanamke nitakae muoa kwa sasa awe na kigimbi 🤣 mimi nafuga na kulima sitaki mwanamke wa chips mayai na pilipili kwa mbali🤣
Hadi sasa unacheza games ?GAME kamma kuna mtu anaijua ps 2 winning eleven ilikuwa haina speed hivi ile gem nilikuwa bingwa sana
sanaaa,tulkua tunafanya hadi harusi na shera juu😌😌😂😂Kibaba na kimama ulikua unapenda sana wewe sio 😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣Tena wakubwa wanajificha sehem moja mda mrefu,wakimaliza wanatoka kubutua mpira au kopo eti kombolelaaaaaaa mxiuuuu zao😆😆
Haya, wewe sio mtoto wa buku mbili basi🤣We m hadi gari za waya nmetengeneza😂nmepoteza yebo kisa kuwekwa golini,soksi za shule nmepoteza,mipira ya kutengenezwa kwa karatasi aseeee 🤣
Heshima yangu npe bwan 😂Haya, wewe sio mtoto wa buku mbili basi🤣