Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Utoto ulikua mwingi sana ππππMdako na rede.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utoto ulikua mwingi sana ππππMdako na rede.
Bisa na ukionekana wa kwaza nilikuwa najikausha mpaka aje anishike kwa mkonoUnajificha kiasi usionekane
GAME kamma kuna mtu anaijua ps 2 winning eleven ilikuwa haina speed hivi ile gem nilikuwa bingwa sana
Aaa wee shindikana, kipindi hicho kitaa kizima watoto wenzangu walikua wananiogopa ,hata akija mgeni lazima aletwe kwangu nimfue kwanza kulinda ufalme wanguπ€£Kitoto kiongo hikiπββοΈπββοΈ
Golori, mabetri, kuchora,kuogelea,sambi/doso,mbio,kuwinda na mbwa na Kwa manati na kibaba na mama unakuwa baba ama mtoto....Kombolela ilinichosha siku nilikuwa nazinda Mimi wakabaki wawili kumbe wameenda kwao ..tafuta tafuta na wewe aaaah..... Nikawaacha ..sikucheza tena ..nimekumbuka na ule wa kinyuliiinyulikaaaIfahamu michezo asilia ya watoto inayotambulika katika Lugha adhimu ya Kiswahili
1) Kombolela
2) Mdako/nakwa
3) Rede
4) Nage
5) Tobo
6) Saga koboa
7) Ukuti ukuti
8) Kinyulinyuli
9) Visoda
10) Kula mbakishie baba
Itaendelea...
Hakuna siri hapo zaidi ya kuunganisha vikojoleoπ€£Kombolela hasa nyakati za usiku maana huko tulikuwa tunachaguliana me na ke
Unafaham nini? Kilichokuwa kinatokea ni siri yetu
Nilikua napenda sana kuwa mtazamaji wa mpira wa redeπ€£Mdako na rede.
Kombolela haukucheza?Mdako na rede.
ππ nakumbuka nyie mabonge tulikua tunaweka golini muwe kipaMi nlikuwa bonge wananitenga kazi yangu ilikua kulinda Mali za watu wakati watu wanacheza
ππππππ nakumbuka nyie mabonge tulikua tunaweka golini muwe kipa
Sasa Kombolela mnachaguliana vipi mume na Mke wakati pale mkibutua tu lindo/kopo mnatawanyika ... Labda mkakutane huko ...Ule wa kuchaguliana Mke na mume inaitwa KIBABA NA MAMA.. WAZAZI MNAKUWA NA KANYUMBA KENU NA WATOTO KANYUMBA KAO... Nilikuwa natengeza taa Kwa vibetri na tubalbu tule tudogooo ... Tunaweka kwenye nyumba yetu na watoto mnawaambia hakuna kuuingia Kwa baba mpaka mgonge hodi ...wanabaki nje wanajipikilisha mboga na ugali kwenye vikopo vya Tanbond vya bati....aseeeKombolela hasa nyakati za usiku maana huko tulikuwa tunachaguliana me na ke
Unafaham nini? Kilichokuwa kinatokea ni siri yetu
hakika nmecheza michezo yoote hadi kibaba na kimama,, kwaio kwenye ubingwa sijui ππ
Mtoto wa buku mbili mnashinda tu kwa tvπ€£hakika nmecheza michezo yoote hadi kibaba na kimama,, kwaio kwenye ubingwa sijui ππ
Kibaba na kimama ulikua unapenda sana wewe sio ππππhakika nmecheza michezo yoote hadi kibaba na kimama,, kwaio kwenye ubingwa sijui ππ