min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
shindikana Wewe🤣Si unaona!! Nilijua tu ni hizi sarakasi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
shindikana Wewe🤣Si unaona!! Nilijua tu ni hizi sarakasi.
Acha uongo. Umbuluni karatee mnajifunza wapi? We ulikuwa bingwa wa kubaka ng'ombe na mbuzi tu machunganiKaratee na sarakasi.
Wewe muuza madafu nimeishi na wambulu ila mimi sio mmbulu🤣🤣🤣Acha uongo. Umbuluni karatee mnajifunza wapi? We ulikuwa bingwa wa kubaka ng'ombe na mbuzi tu machungani
Utoto wangu nilidhulumiwa sana , majukumu yalio kuwa nje ya umri wangu yaligharimu.Ifahamu michezo asilia ya watoto inayotambulika katika Lugha adhimu ya Kiswahili
1) Kombolela
2) Mdako/nakwa
3) Rede
4) Nage
5) Tobo
6) Saga koboa
7) Ukuti ukuti
8) Kinyulinyuli
9) Visoda
10) Kula mbakishie baba
Itaendelea...
Chudoooo 🤣🤣🤣🤣Ifahamu michezo asilia ya watoto inayotambulika katika Lugha adhimu ya Kiswahili
1) Kombolela
2) Mdako/nakwa
3) Rede
4) Nage
5) Tobo
6) Saga koboa
7) Ukuti ukuti
8) Kinyulinyuli
9) Visoda
10) Kula mbakishie baba
Itaendelea...
Wazee wa Power rangers hao 😹Nilikuwa naangalia katuni tu na kuwa wa kwanza darasani basi.
Najuta sana, sijui ni malezi ya geti kali, sijui ni mimi, nakosa wa kulaumu.
Utoto wangu ulikuwa mgumu, uonevu(bullying) ulinisumbua.
kumbe umeangalia power rangers mshua mwenzanguWazee wa Power rangers hao 😹
Mitoto ya kishua
😹 Mi wa uswazi shauri yako..kumbe umeangalia power rangers mshua mwenzangu
kuanzia leo wewe ni pink rannger😹 Mi wa uswazi shauri yako..
Ila walijua kutupotezea muda wetu, tukitoka hapo kuendesha bike..
Okay the black ranger 😹kuanzia leo wewe ni pink rannger
adi sasa nacheza pale nikikutana na wale tulio cheza udogoni yan ni kama muunganiko flani usiofutika kwenye mioyo yetu wengine tupo mikoa tofaut but sometime mtu anaez kukwambia ntafunga safari nije kukusallimia pia tutapita sehem tujikumbushie vitu vyetu😁Hadi sasa unacheza games ?
Goroli na visodaIfahamu michezo asilia ya watoto inayotambulika katika Lugha adhimu ya Kiswahili
1) Kombolela
2) Mdako/nakwa
3) Rede
4) Nage
5) Tobo
6) Saga koboa
7) Ukuti ukuti
8) Kinyulinyuli
9) Visoda
10) Kula mbakishie baba
Itaendelea...
Umenirudisha mbali sana 😂 😂Sasa Kombolela mnachaguliana vipi mume na Mke wakati pale mkibutua tu lindo/kopo mnatawanyika ... Labda mkakutane huko ...Ule wa kuchaguliana Mke na mume inaitwa KIBABA NA MAMA.. WAZAZI MNAKUWA NA KANYUMBA KENU NA WATOTO KANYUMBA KAO... Nilikuwa natengeza taa Kwa vibetri na tubalbu tule tudogooo ... Tunaweka kwenye nyumba yetu na watoto mnawaambia hakuna kuuingia Kwa baba mpaka mgonge hodi ...wanabaki nje wanajipikilisha mboga na ugali kwenye vikopo vya Tanbond vya bati....aseee
Ulikuwa unajifungia getini alafu unajiita Mgumu 😂Maisha ya kujifungia getini ya kijinga sana mpaka leo yamenifanya niwe mtu wa kushinda jf
Kipigo chote hicho alafu sasa hv umekuwa anataka uoe wakati tayari alisha kuharibu kisaikolojiaYani, kuna dada aliitwa pendoo sita kaa nimsahau , nilifumwa nae mama alinipiga mpaka nikaingia uvunguni🤣
Ili ushuhudie vikalio vya wasichana vidogo siyo.Nilikua napenda sana kuwa mtazamaji wa mpira wa rede🤣
Ila tusingepigwa kipindi hicho tungekua majambazi leo🤣Kipigo chote hicho alafu sasa hv umekuwa anataka uoe wakati tayari alisha kuharibu kisaikolojia