Ulikuwa Bingwa wa Michezo ipi Utotoni?

Nilikuwa mkali wa kupiga denda, siku moja nilimpiga denda mdada wa watu akaishiwa na mate mdomoni mpaka akapelekwa hospital, yaani mpaka Leo nilimpiga denda mtu simwachi salama coz nina ulimi mrefu utadhani kinyonga.
 
Mkongwe upo?
 
Nilikuwa mkali wa kuchonga uume bandia na hiki kipaji kilinisaidia pia kuwa mkali wa Kulimega tunda la katikati kwani sikuhitaji kutongoza bali kuudondosha chini ule uume bandia kanakwamba umeniponyoka ninapokuta na msichana.
Ama kweli ukutumia kipaji chako huwezi kufa kwa njaa
 
aisee ungekuwa Dodoma tungekuwa tunacheza Ps mkuu mimi ndo starehe yangu hyo nikitoka Job tu ni mimi na Ps nmejifungia ndani basi.
 
Rede
Mdodo
Bao ( ni mchezo ambao vinachorwa vyumba chini, kwa upana 2, na urefu 5, maana mnacheza kwa kutumia kigae, mnacheza kwa kupishana, ukikosa, anaingia mwingne,
Sasa, mimi huu mchezo, nikiingia kucheza kutoka hapo nimeshafunga magori (vyumba vyote vinakua X.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…