Ulikuwa na ndoto ya kuwa na mwenza wa namna gani?

Do you think kama ana tabia ya umalaya utaweza kumbadilisha?????
 
Sawa Sawa,hongera....hivo vigezo ulivyoviweka ndiyo ndoto zako Mkuu...sisi wafupi Tukae kwa kutulia
 
Sawa Sawa,hongera....hivo vigezo ulivyoviweka ndiyo ndoto zako Mkuu...sisi wafupi Tukae kwa kutulia
Huna ufupi wowote labda tu ulitamani kuwa mrefu zaidi ya ulionao, jikubali tu uko vizuri me mwenyewe nakutolea udenda sema tu labda sijaandikiwa kuwa nawe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…