Ulikuwa unatoa taarifa nyeti za watu, wengine mpaka leo hatuwaoni wengine ndiyo kama hivyo. Leo unaanza kulialia?

G Sam

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
11,795
Reaction score
36,704
Hakuna aliyekugusa wala kukusemesha ila nafsi yako inakusuta.

Kwanini ulikuwa ukitoa taarifa nyeti za wanachama?

Ulijisikiaje wengine mpaka leo hawajulikani walipo? Wengine ndiyo kama vile tena?

Hakuna aliyekusemesha, hakuna aliyekugusa. Uliangua kilio V.I.P room baada ya mzee wa mayai ya kisasa kuleta habari. Kumbe ulijua yajayo? Haya sasa! Nafsi na ikusute vizuri.
 
Inaweza kuwa kisomo cha Tanga kimeanza kujibu
 
Chakadomoz Kwa kusutana

Hamjambo
 
Mmh! Hili bandiko nafikili umewakusudia watu mliosoma Cuba🤣🤣🤣
 
Usimkurupue,ngoja ajimalize kwenye 18,aseme vizuri
 
Huu ndiyo unaitwa ulevi wa madaraka. Unaona wengine kama siyo binadamu mpaka pale madaraka yanapoisha. Walijiamini sana kwa sasa dola ilikuwa nyuma yao. Si ajabu dola hiyo hiyo ndiyo iliwauza.
 
Ohooo!
 
Nimeweza kufungua kodi, ukitulia habari inaeleweka kiraisi sana
 
Nini shida? au kule kutaka kuongea na vyombo vya habari?
 
Kwa hiyo Mrema alijhusika katika kupotea kwa wanachama wa CDM? Taarifa hizo alikuwa anampelekea nani?

Chonde chonde mnakoelekea si kuzuri,

Amandla...
 
Kama mmeingia kwa gia hiyo ya visasi hamtafika popote. Niko pale, nawasubiri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…