You are a bad looser, kubali kushindwa kiungwana maisha yaendelee. Acha roho za kichawi prove hizo tuhuma na uongo wenyeweJidanganye. Mmepata uongozi kwa kuwakanyaga wenzenu kwa tuhuma za uongo, hamtafanikiwa kamwe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You are a bad looser, kubali kushindwa kiungwana maisha yaendelee. Acha roho za kichawi prove hizo tuhuma na uongo wenyeweJidanganye. Mmepata uongozi kwa kuwakanyaga wenzenu kwa tuhuma za uongo, hamtafanikiwa kamwe.
Ulitaka alie kifo cha Magufuli? Mfano wako ni irrelevant wenye akili na wanaothamini maisha ya watu wote walifurahia kifo cha MagufuliKuna msemo wa wahenga wa Zamani kuwa kuna kundi la nyani lilishangilia baada ya kusikia mkulima wa mahindi amekufa wakaambiana sasa watakula mahindi kwa uhuru bila kurushiwa mawe. Hawakujua kuwa aliyefariki ndiyo alikuwa anasababisha mahindi yawepo, baada ya muda nyani nao walikufa njaa vibaya sana kwa kukosa chakula.
Stori hii ya wahenga inafanana na kitendo cha Mbowe kushangilia kufariki kwa Magufuli, asijue kuwa ndiye aliyekuwa analinda uenyekiti wake wa Chadema.
Kila mtu anajua kama Magufuli angekuwa rais wa Tanzania isingewezekana Tundu Lisu kuwa Mwenyekiti wa Chadema.
Freeman Mbowe ulishangilia wakati wengine wakilia ,leo ni zamu yako kulia huku wengine wakicheka na kushangilia.
Freeman Mbowe ni faida ipi uliyoipata kwa kushangilia kifo cha Magufuli?
Yo hana mlemavuNieleweshe
Chizi huyoEmbu onyesha uthibitisho mbowe akishangilia kifo cha magufuli
Akili za kichawi ndio zinazoweza kufikiria hivi, maana zinawaza uchawi uchawi tu na kuzimu. Lissu ni chaguo la wengi kubalini mikoba yenu ya kichawi na ramli zenu chonganishi tupa kule mmepitwa na wakatiSitashangaa mpigwa risasi akaja kuwa dikteta kuliko yule aliyemwita dikteta uchwara
Roho mbayaBasi tufanye -2
Uko vzr mtumishiHapana sio yeye soma vzr
Ha hahahahaRoho mbaya
Safisha nyumba. MLA RUSHWA asiishie kufukuzwa tu bali utafutwe ushahidi akafungwe.Unganisheni wanachama wote, uchaguzi umeisha,sio muanze kufukuzana na kutenga wanachama waliokua upande mwingine
Acheni ujinga na mihemuko
Kura humaliza mabishano. Aliyeshinda na aliyeshindwa atulie. Mkuki Kwa NguruweTUmesema majungu na vijembe mwisho, kushinda umeshinda sasa shipa la nini?
Mwanachama kuita press inakuwa nongwa? Demokrasia si kura za wazi tu bali ni pamoja na kumsikiliza mwenzako.
Tumsikikize ana yapi? tatizo lipo wapi? Anaweza kuja na jambo jema la kuijenga CDM mpya.... usimsurubu mtu bila kumsikikiza usiwe kama wale wayahudi enzi za Kristo.
Totauti ni kura 31 tu, kwangu mie wote wameshinda sasa kuendelea kutuniahiana misuli ni utoto, muda huu ni wa kuwaunganisha wanachama wote kuwa kitu kimoja.Kura humaliza mabishano. Aliyeshinda na aliyeshindwa atulie. Mkuki Kwa Nguruwe
Huu ndio mgawanyiko wenyewwe ndugu, wala usiende mbali ukidhani kwamba unawahusu aliens. Ninyi ni watu wa ajabu sana. Marekani uchaguzi umeisha na wote wamerudi pamoja kuendeleza nchi yao,You are a bad looser, kubali kushindwa kiungwana maisha yaendelee. Acha roho za kichawi prove hizo tuhuma na uongo wenyewe
Mmetumia kete ya tuhuma za kubumba zisizo na uthibitisho ili kukwea ngazi. Sasa mmeanza kutafutana uchawi. Yetu macho.Safisha nyumba. MLA RUSHWA asiishie kufukuzwa tu bali utafutwe ushahidi akafungwe.
Si ajabu Rushwa ndo imesababisha majanga makubwa. Eti hata Wenje aachwe tu!? Puumbavu
Aliyekuwa anahesabu kura na kutoa matokeo ni boy yai, na aliyelia alivyopewa matokeo ni MboweNooo
😃😃
Uzi hii ni matokeo ya Uzi Fulani hapa
Kwahiyo unataka kusema ni John Mrema?Hapana sio yeye soma vzr
Una uchungu wa kushindwa uchaguzi kuliko hata Mbowe mwenyewe. Umekazania kuwa Lissu kashinda uchaguzi kwa tuhuma za kubumba zipi hizo unazizijua mwenyewe? Tumeshuhudia kuchafuana pande zote, Ntobi hadi kafukuzwa uongozi kwa kashfa na lugha chafu dhidi ya TL.Huu ndio mgawanyiko wenyewwe ndugu, wala usiende mbali ukidhani kwamba unawahusu aliens. Ninyi ni watu wa ajabu sana. Marekani uchaguzi umeisha na wote wamerudi pamoja kuendeleza nchi yao,
Mmetumia kete ya tuhuma za kubumba zisizo na uthibitisho ili kukwea ngazi. Sasa mmeanza kutafutana uchawi. Yetu macho.
Ndio anaemsema hapaKwahiyo unataka kusema ni John Mrema?
Aliyempa matokeo kwamba kashindwa then akalia ni nani??
Nilimaaqmisha huu Uzi ni natokea ya Uzi uliwekwa hapa John akiwa analalamikaAliyekuwa anahesabu kura na kutoa matokeo ni boy yai, na aliyelia alivyopewa matokeo ni Mbowe
Washamtaja mkuuNieleweshe
Wapiii tunasoma humu humu tu🤣Uko vzr mtumishi