Mpigania uhuru wa pili
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 3,380
- 6,376
Ni jon mremaSio huyo ni Dj anasemwa, huoni km katajwa bonge muuza mayai? Mbona code nyepesi kabisaa..!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni jon mremaSio huyo ni Dj anasemwa, huoni km katajwa bonge muuza mayai? Mbona code nyepesi kabisaa..!!
Basi tufanye -2Marks ngapi usiniambie 0
Thanks stroke, umenifumbua macho mie nisiyekuwa na 2D. Kwahiyo yule mzee wa mayai kumbe ni ile Mboni-ya mayai mayaiJon mlemavu
Kama mmeingia kwa gia hiyo ya visasi hamtafika popote. Niko pale, nawasubir
Jidanganye. Mmepata uongozi kwa kuwakanyaga wenzenu kwa tuhuma za uongo, hamtafanikiwa kamwe.usitusubiri nenda kajiunge kwa mama Abdul tuache tusake panya wamekula sana mahindi yetu.
KumbeMbowe
Mmechafua watu mpaka mmepata madaraka. Bado mtaendelea kulinda madaraka kutumia mfumo wa kuchafua watu?Hakuna aliyekugusa wala kukusemesha ila nafsi yako inakusuta.
Kwanini ulikuwa ukitoa taarifa nyeti za wanachama?
Ulijisikiaje wengine mpaka leo hawajulikani walipo? Wengine ndiyo kama vile tena?
Hakuna aliyekusemesha, hakuna aliyekugusa. Uliangua kilio V.I.P room baada ya mzee wa mayai ya kisasa kuleta habari. Kumbe ulijua yajayo? Haya sasa! Nafsi na ikusute vizuri.
Ha haa..labda ndio kuponyana MAKOVU kwenyewe hukoChakadomoz Kwa kusutana
Hamjambo
NoooMbowe
Kwa hiyo hawa ambao walipotea mkawasingizia viongozi waungwana wamewapoteza tumuulize Yeye? Basi na ninyi muombe radhi kwa wale mliowasingizia dhambi!Kwanini ulikuwa ukitoa taarifa nyeti za wanachama?
Unganisheni wanachama wote, uchaguzi umeisha,sio muanze kufukuzana na kutenga wanachama waliokua upande mwingineHakuna aliyekugusa wala kukusemesha ila nafsi yako inakusuta.
Kwanini ulikuwa ukitoa taarifa nyeti za wanachama?
Ulijisikiaje wengine mpaka leo hawajulikani walipo? Wengine ndiyo kama vile tena?
Hakuna aliyekusemesha, hakuna aliyekugusa. Uliangua kilio V.I.P room baada ya mzee wa mayai ya kisasa kuleta habari. Kumbe ulijua yajayo? Haya sasa! Nafsi na ikusute vizuri.
Tulisoma Sisimba, Maendeleo, Itiji, Majengo Juu, Majengo Chini, Mbata, Isanga, Muungano, Azimio, Manga NK tuna comment wapi?Mmh! Hili bandiko nafikili umewakusudia watu mliosoma Cuba🤣🤣🤣
Hapana sio yeye soma vzrHapo anasemwa Dj wa Chadema
Duh huyu ni mzazi WA mtu.lLilisema lilitaka kuhongwa na Magufuli likakataa hilo zee makengeza ongo kweli bora limepigwa chini
NielewesheNooo
Kumbe hujaelewa
NoooSio huyo ni Dj anasemwa, huoni km katajwa bonge muuza mayai? Mbona code nyepesi kabisaa..!!
Sio mboweNieleweshe
Sitashangaa mpigwa risasi akaja kuwa dikteta kuliko yule aliyemwita dikteta uchwaraKama Mrema ndio alikuwa anahusika acheni afanye press na tuhuma hizo alizonazo ajadiliwe na apewe nafasi ya kusikilizwa ndio hatua zichukuliwe udikteta haufai na nimekuwa naupinga wazi haijalishi nani kafanya hivyo Lissu afuate tu misingi ya demokrasia na natural justice.