Ulikuwa unatoa taarifa nyeti za watu, wengine mpaka leo hatuwaoni wengine ndiyo kama hivyo. Leo unaanza kulialia?

Ulikuwa unatoa taarifa nyeti za watu, wengine mpaka leo hatuwaoni wengine ndiyo kama hivyo. Leo unaanza kulialia?

usitusubiri nenda kajiunge kwa mama Abdul tuache tusake panya wamekula sana mahindi yetu.
Jidanganye. Mmepata uongozi kwa kuwakanyaga wenzenu kwa tuhuma za uongo, hamtafanikiwa kamwe.
 
Hakuna aliyekugusa wala kukusemesha ila nafsi yako inakusuta.

Kwanini ulikuwa ukitoa taarifa nyeti za wanachama?

Ulijisikiaje wengine mpaka leo hawajulikani walipo? Wengine ndiyo kama vile tena?

Hakuna aliyekusemesha, hakuna aliyekugusa. Uliangua kilio V.I.P room baada ya mzee wa mayai ya kisasa kuleta habari. Kumbe ulijua yajayo? Haya sasa! Nafsi na ikusute vizuri.
Mmechafua watu mpaka mmepata madaraka. Bado mtaendelea kulinda madaraka kutumia mfumo wa kuchafua watu?

Jengeni chama mna kazi kubwa sio hii ya kuchafua watu.
 
Hakuna aliyekugusa wala kukusemesha ila nafsi yako inakusuta.

Kwanini ulikuwa ukitoa taarifa nyeti za wanachama?

Ulijisikiaje wengine mpaka leo hawajulikani walipo? Wengine ndiyo kama vile tena?

Hakuna aliyekusemesha, hakuna aliyekugusa. Uliangua kilio V.I.P room baada ya mzee wa mayai ya kisasa kuleta habari. Kumbe ulijua yajayo? Haya sasa! Nafsi na ikusute vizuri.
Unganisheni wanachama wote, uchaguzi umeisha,sio muanze kufukuzana na kutenga wanachama waliokua upande mwingine

Acheni ujinga na mihemuko
 
Mmh! Hili bandiko nafikili umewakusudia watu mliosoma Cuba🤣🤣🤣
Tulisoma Sisimba, Maendeleo, Itiji, Majengo Juu, Majengo Chini, Mbata, Isanga, Muungano, Azimio, Manga NK tuna comment wapi?
 
Kama Mrema ndio alikuwa anahusika acheni afanye press na tuhuma hizo alizonazo ajadiliwe na apewe nafasi ya kusikilizwa ndio hatua zichukuliwe udikteta haufai na nimekuwa naupinga wazi haijalishi nani kafanya hivyo Lissu afuate tu misingi ya demokrasia na natural justice.
Sitashangaa mpigwa risasi akaja kuwa dikteta kuliko yule aliyemwita dikteta uchwara
 
Back
Top Bottom