Ulikuwa unatoa taarifa nyeti za watu, wengine mpaka leo hatuwaoni wengine ndiyo kama hivyo. Leo unaanza kulialia?

Mzee wa mayai ya kisasa!!!
 
Kwa hiyo hawa ambao walipotea mkawasingizia viongozi waungwana wamewapoteza tumuulize Yeye? Basi na ninyi muombe radhi kwa wale mliowasingizia dhambi!
Elewa hoja. Alishirikiana na hao wauaji kwa kuwapa taarifa zao nyeti
 
Kwani kazuiwa na nani? Au anatafuta attention tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…