Mamndenyi
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 43,242
- 60,939
Nilikuwa mbeya, nimeajiriwa serikalini.
Nilimlilia sana Mwalimu Nyerere.
Nilikumbuka elimu ya bure niliyopata, nililia sana.
Nilkmlilia Mwalimu Nyerere mpaka akanijia kwenye ndoto, ananionesha alivyozidiwa na madaktari walivhojitahidi kuushtua moyo lakini ikashindikana.
Aliniaga na akasema nimeondoka sitarudi tena acha kulia.
Mbali ya Mwalimu watu wengine wawili niliwahi agana nao mmojawao ni Marehemu Papa Yohana yule aliyewahi tembelea Tanzania,
Namshukuru Mungu kwa yale maono hayo makubwa hivyo.
Endelea kuPumzika vizuri huko Mbinguni Mwalimu Nyerere.
Nilimlilia sana Mwalimu Nyerere.
Nilikumbuka elimu ya bure niliyopata, nililia sana.
Nilkmlilia Mwalimu Nyerere mpaka akanijia kwenye ndoto, ananionesha alivyozidiwa na madaktari walivhojitahidi kuushtua moyo lakini ikashindikana.
Aliniaga na akasema nimeondoka sitarudi tena acha kulia.
Mbali ya Mwalimu watu wengine wawili niliwahi agana nao mmojawao ni Marehemu Papa Yohana yule aliyewahi tembelea Tanzania,
Namshukuru Mungu kwa yale maono hayo makubwa hivyo.
Endelea kuPumzika vizuri huko Mbinguni Mwalimu Nyerere.