Ulikuwa wapi wakati kifo cha Mwalimu Nyerere kimetangazwa?

Shikamoo bro. Mi nilikua la 3. Njia nzima nilikua naangalia angani nikijua kwakua Baba wa Taifa amefariki wakoroni wanakuja any time. Yaani mawazo yangu Nyerere ni kama Anold Shwaziniga yaani yeye ndio kamanda mwenyewe.
Oyaa! Salimia na hapa! [emoji41][emoji41]
 
Mamndenyi Nakupenda!
 
sisi wengine baba yetu wa taifa ni mkapa maana tulizaliwa zama zake[emoji849][emoji849]
 
Dah Aisee!
Ni machungu watu walikua nayo juu ya kifo cha Mwalimu hlf mtu analeta utani
 
Nilikuwa nimedoji kazini naenda kibaha kww mchepuko
 
Kwahiyo hii 14 tunapigwa kamba ?
 
Nikisema watu wataanza kusema niwape salamu
 
Ilikua siku ngumu, nilipigwa fine mbuzi (kubambuliwa) na mwenyekiti wa kijiji kwa kosa la kwenda shambani kulima wakati tunamsiba wa Taifa.
 
NIlikuwa shule tena tuko darasan ndio tunapewa hizo habari mida ya saa 4 iv

Nilikuwa darasa la 4 wakati huwo

Msamvu Primary school
 
NIlikuwa shule tena tuko darasan ndio tunapewa hizo habari mida ya saa 4 iv

Nilikuwa darasa la 4 wakati huwo

Msamvu Primary school
1999 = Darasa la 4 = 10 to 12 yrs of age

Kama hukuMadelu, basi leo upo na miaka kama 34 mpaka 36. Ushaachama na ujana ahahahahahah
 
Nakumbuka to tulikuwa tunachoma tanuru la tofari. RTD walipo tangaza basi waliokuwa wakubwa sana walipigwa na butwaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…