Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaaaa. Pole mdogo wangu.wacha kabisa uliniona kumbe ninavyotia huruma eee
Kuumbeeee!!Hakuangushi ndivyo alivyo huyo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hembu tutajie jina la accnt lililokujia kwa kwicha mida hyo?Mi jana kutwa nzima jf sikuigusa,Leo asubuh nalog in naona inagoma nikahisi nimekula ban. Kidogo nicreate new account[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Hahaaaa. Kabisaaa na izidi kudumu kwakweli.Ahsante sister sasa tumerudi kwenye familia yetu pendwa humu
Jf patamu zaidi asee!Hahahaaaa. Pole sana.
Ila sidhani kama kuna raha kama huku jf.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimekumiss ebu nipe mguno wako kuna mtu tunabishana sana yaani mpaka tumewekeana dau la zawadiKuumbeeee!!
Baada ya shambulio la jana lililopelekea mtandao pendwa kuwa down kwa masaa kadhaa na ukawa haupatikani kabisa uliwamiss member gani humu?
Ulimiss topic gani humu?
Ulimiss comments za member gani humu?
Kuna mtu niliona kaandika kamiss uzi wa shunie na shoga ake demiss na mzigua..sijui nan yule jaman nlitamani kumjua..ila jana nlikua na kazi mbovu kila mlalamikaji ilikua lazima nichungulie page yake..[emoji23][emoji23][emoji23] nikakutana na picha vikatuni mara private mwehHahaha uonisha majina...mbona unawatambua kirahisi tu,,,,yani kama wew huku shunie kule nikiona shey lee kalalama najua kabisa ni wewe[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Karibu tena princessYani nimennua bundle jipya nikajua zimeisha MB ila bado nika uninstall JF nikainstall upya bado nikaenda google kutumia browser pigwa na chini na sikupata akili ya kuingia insta kwenye page nikajua kuna nini hangaika weee nane ucku ndo najua ni mtandao dah I'm back [emoji126]
Kivipi?[emoji23] [emoji23] [emoji41]Nlimumisi Jolie
Hahaaaa. Umeonaeee.Jf patamu zaidi asee!
Jana ndo niligundua kuwa naipenda jf kuliko Maelezo. Nilimiss vingi jamani. Jf members, nawapenda sana
Ndio nani huyo?Kijiwe mshenzy jamani ukuje jana tuliona salaam zako mamy
Hahaaaa. Hata hakuna mdogo wangu.khee kumbe kun watu wanaotaka namb za hajari hahahaha
washajaa hukoHahaaaa. Lol.
Hebu usifanye mdogo wangu akasumbuliwa bana.