Burton86jm
JF-Expert Member
- Jul 28, 2011
- 616
- 183
top movies back on eutelsat 7w,sasa unaweza kuipata top movies chanel maarufu na yenye movie za ukweli ktk eutelsat7w.waliifunga kwa muda mrefu lakini sasa naona wameiachia.pia ziko chanel nyingi sana zaidi ya hiyo 10873 v 27500 Eutelsat 7 West A at 7.3°W - LyngSat
Ni sahihi maana hapo ni mambo mawili...
Either ni Software problem ambayo ni rahisi ku fix ila Hardware problem hiyo ni issue
Ntauliza kesho kwa wachina ntakupa jibuMkuu kama una software upgrade ya hii kitu tafadhali naomba unisaidie, @njunwa wamavoko
Hapo unahitaji dish ft8 maan hizo ni cband na hiyo zimbo ni ku
Kwa ku dish size yoyote mkuu zenye shida ni za cband
Pale pale ilipo azam ila ku yako ikae kama ya dstv[/QUOTE
Nashukuru sana Mzazi Nang'ata!!
Kuna mtu alipost huku kua ukiwa na amos 5 unaweza pia kupata eutelsat 16E, naombeni mwongozo nafanyeje hapo ili niipate?,,, frequency, transponder n.k,
Pale pale ilipo azam ila ku yako ikae kama ya dstv[/QUOTE
Nashukuru sana Mzazi Nang'ata!!
ila best mbona foot print inaonesha ipo africa nzima iweje nilazima utumie Dish la ft8 na siyo ft6?
Kuna mtu alipost huku kua ukiwa na amos 5 unaweza pia kupata eutelsat 16E, naombeni mwongozo nafanyeje hapo ili niipate?,,, frequency, transponder n.k,
Tumia tp 10804/29999v ukiweza balance hio tp utapata 17e&16e size dish 3.5ft kwenda juu kwa uhakika zaidi
kwenye hiyo eutalsat 16e zipo chanel zipi?maana kuna nilizo zipata ambazo zote hakuna za English hata moja ambazo ni canal 1 mara canal 2!!!
Ndipo ilipo pkge ya ting hapo